Hueleweki hata.halafu hizi kampuni za siasa zinakuwa hazina uwanja mpana wa wa viongozi kiasi akitokea mtu akazungumza vizuri mara 1 wanamuamini na kutaka kumrundikia vyeo
Dogo millya alipima upepo akaona mambo ccm yamemkalia hvyo na hakuwa na nafas ya kushida kwenye uchaguzi wowote akaona akimbilie magwanda ambapo now amegeuka ganda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.