dah mkuu umeenda deep sana, ila hata mimi naona dini isiwe kikwazo kwa waliwili wapendanao! tukumbu hakuna aliesaini mkataba na Mungu kuwa azaliwe katika familia fulani. Tunazaliwa tu na kujikuta tunafuata dini hizi.
Kabila tu kitu ambacho huwezi kubadilisha siku hizi hakizingatiwi kwenye...
Wote mnaoponda hii thread sio waelewa.
Sijaona udhalilishaji hapa zaidi ya jamaa kutaka ushauri.
Tena ameeleza vizur tu kuwa mwez wake akiambiwa anaona amedharauliwa je atumie njia gani kumwambia bila kuleta ugomvi baina yao?
Akaomba kama kuna dawa mmwambie na jinsi gani atatue hili...
Mmmh ww nawe umezidi kama wampenda si u pm mkutane ya nn kuchosha watu humu?ww kama humjui mm ntamjuaje! Nahisi ww ndo The Finest mwenyewe unakuja kutuzuga tu hapa. Mnalishushia hadhi hili jukwaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.