Haya jamani,
Kuna kampeni inatembea duniani inaitwa self love.
Wale watafsiri wa lugha sanifu ya Kiswahili waje watuambie, self love ina maana gani? Kama una picha weka.
Mamdogo Penny
Money Penny enhe!
Mwana: niko na sugar daddy ila kama kijana daddy
money penny: kwanini?
mwana: penzi lake lanitesa sana, mwanaume anaenda kwa siku mara 3
money penny: ana umri gan
Mwana: na miaka 83
Money Penny: mkewe?
Mwana:alishakufa
Money penny: sasa shida ni mkewe au round...
Nipo Kariakoo hapa dukani. Dada mmoja maskini akaingia kununua vitu, akamwomba muuza duka maji ya kunywa.
Mwenye duka akamwuliza, maji gani unataka? Pia unataka Maji ya rangi gani? Ee me ninayo maji yangu ila ya kuuza yameisha, maji nayotoa mimi bure kabisa.
Sasa dada wa watu akashangaa kwani...
Nipo zangu mlimani City kwenye manbo ya kushuti Content za youtube channel yangu
Tukiwa break mara wakaja wadada wawili buana mazungumzo yao yalikuwa hivi
Dada wa kwanza: my dia usipotoa kwa wanaume hata kidogo wakuonje onje hautaolewa,
Dada wa pili (bikra): kwahiyo mwenzetu wewe ulitoa kwa...
client wa instagram: money penny bwana me nimepata demu ila maziwa yake yamelaaaaala sana
money penny: sa unataka nifanyaje jaman
client wa instagram: me nasema tu nisaidie nifanyaje
money penny: una hela?
client wa instagram: ya nini
money penny: ya kusimamisha maziwa?
client wa...
CLIENT: Money penny bwana me simwelewi mke wangu
Money Penny: nini tenaaa?
Client: nilimwambia mke wangu kabla sijamuoa kuwa
1. napenda sana kufanya ngono
2. napenda sana style tofauti tofauti kwenye tendo la ndoa
3. napenda sana kunyonya K
4. napenda kunyonywa mb.o.o
5. napenda sana...
Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!🙆♂️ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa...
Ivi ushakutanaga na mwanaume ambae yuko insecure, hajiamini?
ikawaje?
ulitemana nae vepe?
ulitemana nae baada ya muda gan?
Hadithi kamili pita kwa youtube channel yangu
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum
kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?
kwanini nisimuoe tu fasta, yaani
nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo
hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi...
Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume...
Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu
Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?
Maana me nimetongozwaga zamani,
Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa...
Nipo na shosti hapa analalamika kuwa
Wakati Wana do na mpenzi wake, mpenzi wake akalala kifuani kwake mpaka akamuamsha
Sasa ananiuliza shida NI nini?! Mpaka mwanaume analala na haujawahi kutokea
Eti unamsaidiaje shosti wangu??
Anti: unajua money penny, nimwambie kitu?
Money penny: ndio
Anti: unajua wanaume wengi hapa mjini hawajui kufikisha wanawake zao kileleni. Wengi hawajui G spot ya mwanamke iko wapo. Hawajui kukojoza wanawake zao
Yani wanaume anakupanda Tu kama gari ya mwendo Kasi, akishamaliza yeye anajiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.