Ktk kampeni za kugombea uspika wa bunge maalum la katiba alisikika akijinadi kuwa kuchaguliwa kwake ni 'sawa na kumrudisha chura kwenye maji sehemu ambayo ameizoea' hata hivyo kuna kibonzo kimoja toka ktk gazeti mahiri hapa nchi kili hadhalisha kuwa inaweza kuwa ni chura kuingizwa / kurudishwa...
Nikweli twahitaji kutazama upya tamaduni zetu ambazo tumeacha zikiporomoka kwasababu ya kuiga na kufuata kalibu kila kitu cha ulaya,america na nje ya africa kwa ujumla. Kwamfano, watoto siku hizi badala ya kusimuliwa au kusimuliana adithi watoto kuangalia katuni tu,kwamtindo huu hatujengi uwezo...
ahaaaa! Sifongo usifanye hivyo, utahatarisha maisha yako na watumiaji wengine wa barabara. Ukiwa nimfuasi wa chama chenye kiu ya kuleta mabadiliko ktk mfumo wetu. Nadhani ni vizuri kuonyesha mfano wa kufuata sheria.
Hii yote ni mitazamo tu. Kama ni kweli kuna usaliti amekuwa akifanya kwa chama chake awajibike,mengine yote ni mbwembwe tu. Kwasababu kimsingi hakuna jamii au jumuia inayokubali wasaliti. Cha msingi ni kuwa zzk apewe haki ya kusikilizwa na kujitetea na hatua zingine zifuate.
Jamani hii ni kali, siku zote ukiona mtu anahama kwenye mada na kushambulia mtu uje mambo ni mazito kwake.
Mambo mengi mh zzk ameongea, ni vema akitupasha kuhusu kifo cha marehemu Wangwe naona kama anakitu vile!
Tutayapata mengi sijui ndo mfa maji au vp... Tusubiri tutafahamu punde.
Ujumbe mzito na wenye maono ya mbali. Kimsingi ukifanyiwa kazi kikamilifu ubaguzi na chokochoko zote zitapungua sana kama sio kuisha kabisa. Itapendeza viongozi wetu wakikaza uzi ktk kushughulikia hili tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.