Licha ya CCM kuwa madarakani kwa miaka zaidi ya 60 ndio chama kinachovuruga dhana ya utawala kushinda hata madikteta. Katibu mwenezi wa CCM hana mamalaka ya kumkaripia hata kibarua wa siku. Kazi yake ni ushawishi na uratibu wa wananchama wa chama chake.
Ni kosa kuwahoji watumishi wa serikali...
Bado unasoma makala za Mayalla? Dah mimi nilishampuuza zamani sana. Kabla ya utawala wa Magufuli Mayalla alikuwa mwandishi bora zaidi. Baadae siku Magufuli alimfanya nini, bora nicheze na wanangu kuliko kumsoma Mayalla.
Mheshimiwa nina taarifa mbili kama ifuatavyo:
Tarehe 24/10/2023 kati ya saa tatu na saa nne nilipita Moshi na gari binafsi nikitokea Arusha. Safari yangu hiyo ilikuwa ni safari ndefu iliyoanzia Tanga, Dar, Morogoro, Dodoma, Manyara, Arusha na siku hiyo nilipita Moshi katika safari ya Kurudi...
1. Ni kweli zaidi ya 90% ya mijadala ya Watanzania ni Simba na Yanga, sijui tulikosea wapi? Ni vigumu kujadili mambo ya kitaifa au ya kimataifa ambayo yanatuathiri moja kwa moja. Tunaathirika.
2. Kuhusu ukatili wa Israel wakati mwingine mimi nafikiri tatizo ni waarabu wenyewe ambao wameshindwa...
Haya uliyouasema machoni mwa CCM ni matusi mazito, kejeli, dharau, uzushi, uongo, uhaini, uvurugaji wa amani nk. Kaa chonjo unaweza bambikiwa kesi saa yoyote.
Wasiwasi wangu, CCM watawapigia majaji simu na kuwapa maelekezo. Wazalendo watabambikiwa kesi na akina Kingai, Takukuru TRA nao wanasubiri maelekezo. Under CCM Kiza bado ni kirefu.
Kwanza Faiza huwezi endesha mjadala huu maana msimamo wako unajulikana unaunga mkono kutwaliwa milele kwa bandari kwa kivuli cha uwekezaji. Pili wale wanaoupinga tayari wametishiwa maisha yao, na tayari moja ameponea chupuchupu kwenye jaribio la utekeji. Hivyo kuweka hoja hapa za kupinga...
sina mashaka na uwezo wa mahakimu au majaji wetu Tanzania, BUT sina imani nao kabisa kwa sababu wana itikadi za CCM ya Ole Sabaya, na Pole pole, ya Bashiru, ya Makonda nk. Tangu CCM iingiwe na roho ya ku inflict pains to innocents mahakimu wetu wamekuwa wakiakisi nia hiyo. Hata kama kesi ya...
Uelewa wako ni mdogo sana. Kama umeshindwa kumuelewa Kitima unatia mashaka sana. Kitima ametoa facts dhidi ya propaganda na uongo wa CCM kuhusu maktaba. Mkataba huu unamadhara makubwa sana kwa taifa but huenda ukawa na faida mwa CCM ya wachache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.