Mmekipa chadema umaarufu zaidi. Mbali nakutumia vibaya kodi zetu. poleni ccm na serikhali yake kwa ujumla....mnavyo fanya ivi mnazidi kujenga chuki na wananchi.
Alichofanya uyo mwanamke ni funzo kwa uyoo jamaa ako asije kurudia swala la aibu kama hilo. Iyo fedha alikuwa anamsomesha na mambo mengine kwanini asingetumia kwa familia yake. Unakuta familia inakula kwa tabu lakini kimada kinakula vizuri kinavaa vizuri. Hiyo itawasaidie familia yake ile fedha...
Aise apo kazi unayo. Ebu jaribu kumuuliza wakat mnapo maliza kufanya game kama umemridhisha.... kama ndugu yangu unawai kumwaga maji nalo linaweza kuwa tatizo.
Tatizo ni kwamba bunge limeingiza siasa sana. Uchaguzi ukiisha inatakiwa sasa vyama vyote viwe kwenye hali ya utendaji..... Bila kujali ubaguz wa chama....
Aise mwambie akubaliane na hali ya maisha ya kwao. Then nexty time mshaur amwmbie babaake alipe ada thru bank yeye ampe tu paying slip. tangu ampe iyo elfu 30 yakutumia ni mda gani umepita?
Hapo mkuu hamna ubaya. Asingekaa kwenye folen akaenda direct kwake apo ndo tatizo. Hatuwez kujua walikuwa na ishu gan. Kwa iyo tuache yaliyotokea hapo bank kama yalivyo.
Hii ni kweli mwanamke akishakuwa na kauwezo kidogo tu! Mara nyingi hizi huwa ndo fikra zao. Wanawake ambao bado hawajaingia kwnye ndoa hulipinga hili lakini. Kwa research niliyofanya hili swala lipo.....kitu kinacho tusaidia sisi wanaume tusiachike kama wanavyopanga ni watoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.