Polisi wanafanya kazi ngumu sana tuwape heshima yao tu japo wapo wengine wanalidhalilisha jeshi kwa kufanya kazi nje ya utaratibu japo ni wachache sana
Tanga eneo la Kange Kasera kwanini hamtaki kutuwekea nguzo za umeme eneo la chini ya msikiti ile hali tupo wateja xaidi ya 40 na ambao tumeshafanya wiring na kuleta barua ofisi za Meneja mkoa zaid ya mara tatu tangu mwaka jana mwezi wa pili?
Sababu za kibajet mnazotupa haturidhiki nazo kwa kuwa...
Nina gari yangu Carina Si..pale chini kwenye gear liva kuna button ziko pale zimeandikwa PWR na MANU naomba mnisaidie kujua matumizi yake
Lakin pia kuna kabatan kapo kwenye gear liva ukikaminya kanatoa ujumbe wa O/D
OFF
NAOMBA MNISAIDIE KUJUA MATUMIZI YA HIZO BUTTON
u are not serious
uliona wap biashara ambayo haina address
weka mawasiliano binafs nahitaj hayo mafuta but cjui bei yako n uwezo wako wa kuzalisha
0719213427 nichek nipo Tanga
haiwezekan mwanaume jipande la mtu unakaa ndani ya ist au vitz bwana.
unakuta mwanaume limeshiba c mchezo linapanda ndani ya vitz mpaka inabonyea upande mmoja. hahahahahahaha
kiuhalisia hakuna Gari ya kike lakini kimuonekano au kimtazamo kigari kama vitz anapendeza akiendesha mwanamke tena awe na kamwili kadogo.
pia mwanamke hapendez kabisa kuendesha land cruiser .
vitz, spacio ractis Nadia zinawapendeza sana wanawake lakini sio wanaume
Mimi ni mgeni kidogo katika masuala ya magari. Nimepata Gari kwa mtu anataka kuniuzia Carina SI. Naomba mwenye experience na Gari hii aniambie huwa yanatumia mafuta kwa kiasi gani kwa kilometer na ni mambo gani mengine ya msingi napaswa kuyajua before sijampa hela.
Hizi Nyumba ni ghali sana ukilinganisha na maisha halisi ya watanzania wa kawaida. Mimi nasema hivo kwa kuwa nina mfano halisi kabisa. Nimejenga Nyumba ya vyumba vitatu kimoja masta sebule japo c kubwa sana ina jiko dinning public toilet na ni standard house lakini gharama za jumla nimetumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.