Poa mkuu, lengo langu ni kujua hiyo wilaya ya sikonge ni kabila gani maarufu linalipatikana huko?
Nauli toka tabora mjini hadi huko ni shingapi?
Shughuli zao kubwa ni nini?
Kwa kuanzia tu ni hayo mkuu
Merry Christmas kwa wana jf wote, kama kichwa kinavojieleza, naomba kama kuna mtu anaetokea mkoa wa tabora wilaya ya sikonge, please naomba tuwasiliane kuna mambo nahitaji kujua toka huko.
Ahsanteni, tusherehekee kwa amani
Mkuu kuku wangu wana wiki 19 ni wa kienyeji pure, kuhusu composition naomba nikutajie kesho nikienda bandani, ni mbali kidogo nilipo kwa sasa.
Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu, be blessed
Mkuu habari za kazi? Nashukuru kwa kujitolea kwako kutusaidia wanajamii wenzio.
Naomba nisaidie ndugu yako, nina kuku wangu mmoja anakikohozi cha muda mrefu sana, nimejaribu fluburn imegonga mwamba, kibaya imeanza kuambukiza na kuku wengine, naomba nisaidie nitafute dawa gani itakayokua msaada.
Usikate tamaa mkuu, mwenyewe nilipeleka mayai 60 ya kienyeji pure kutotolesha vikatoka vifaranga 45, msala ukaja kuvilea vikaanza kuumwa vinatoka kama vidonda(damu) sehemu ya haja, karibu kila siku naokota kimoja walinambia nitumie esb3 lakini hola, vina wiki mbili saizi lakini vimeshakufa sita...
Tatizo linalonipata lingine kuku wangu hawan sehemu maalumu ya kutagia, leo atataga hapa kesho pale, kesho kutwa Sehemu nyingine, naombeni msaada nifanyeje ili kila mmoja awe na sehemu yake ya kutagia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.