Hata iwe kesho kura yangu ni kwa JPM njia anazo chukua juu CORONA na mengine yote ni kwa USAWA wa hali ya juu kuliko mahali popote DUNIANI trust.
Mungu ambariki na amsimamie ni bahati kuwa na Namba moja kama yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ila nimevuta toka darasa wanalo anza kuandikia pen.. sasa hivi 35 years old moshi mineli mapaf kwishneii jarikadaee kuch kuch
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana WaTZ wenzangu kwa yote Mungu ni mwema kila wakati, Binafsi nazingatia ya Wizara ya Afya.. Japo nakula sana cha A town no Church, Maombi kila sehemu mpaka kwenye Daladala chooni nikiwa nakata Gooooo goooo usirudi nyuma kuwa Makini Afya ni yako na chaguo ni lako..
Fikra za geto na cha...
CHINA INASHIKA NAMBA MOJA DUNIANI KWA UCHUMI.. NA TAIFA LENYE NGUVU KUBWA DUNIANI.
NCHI ZA AFRIKA KUNUFAIKA NA RASILIMALI ZAKE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara bila reasech ya macho i mean kuona a.k.a kutazama mwenyewe nikuzika Pesa be careful Jomba..
Mtazamo wangu andaa 500,000 nenda Ziwani kafanye reasech..na usiruke kamba.. Mvuvi, wanunuzi, msafirishaji I mean all CHAIN la sivyo unaangukia PUA.
Mtaani kuna Jomba Genge linakuwa kwa speed...
Sijui ni ganja ninazo puliza au ni maruweruwe ya wakati huu ninaopitia!
Let me be honest. Nimenza mwaka vibaya nusu nione nafsi yangu haina thamani japo ina thamani kubwa na wengi huwa wana respect. Jeuri niliyokuwa nayo ilitowekea Gizani ila Mungu ni mwema kwa kila jambo na wakati wote.
Life...
Kiukweli Serikali ya CCM imejitaidi sana katika Sekta hii naipongeza kwa asilimia zote na pale TCRA wapo vizuri sana katika kusimamia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fungua kampuni nyingine taratibu uku unawapa update wateja wako taratibu.. siku inakamilika unaama nao.
Hiyo kampuni itakuletea shida mpaka uombe uzikwe mzima mzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto kama wewe inatakiwa Amrish Pool ning'alishe sharubu, vipi tunafanyaje mzee mzima nataka kwenda sawa ila unaumia naumia life fupi mambo burudani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulivyo sema, we Muombe Mungu vinginevyo fahamu Maisha hayana formula lolote linaweza kuwa sema ni swala la muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa kike anastahili Mapenzi ya Baba, binafsi hata massage ntamfanyia.
Usipompa mapenzi unamchagulia Dunia mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikija kuwa na Mwanamke zaidi ya Mke wangu basi atakuwa Mmama mtu mzima ili nipate experience zaidi ya Maisha ila sio hawa mabinti unaweza kujitundika.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.