Hivi mmeona wapi steji ya kuperform ambayo haina taa? Hivi inawezekana vipi flash ya wasanii inagoma kusomeka?
Hayo yametokea jana kwenye kwenye Tamasha la Pasaka lililoandaliwa na Msama Promotions pale Uwanja wa Taifa.
Katika harakati zangu za kuendelea kutafuta mlango wa kurudi kundini...
I don't care what they are going through within their operations at the moment
I don't care whether they are striving to cut down cost by downsizing their aircraft
They are taking us for a ride. This is unacceptable.
I have been stuck in Kampala since Tuesday (Oct 4th). I came here for a...
Kwanza niaze kwa kusema kuwa sina nia ya KULETA UCHOCHEZI! Maana siku hizi kila jambo linalosemwa au kuandikwa ambalo linalenga kutofautiana au kukosoa mfumo mpya wa uongozi wa nchi yetu basi linatafsiriwa kama uchochezi. Siku hizi hatuna budi kufunga midomo yetu na kumuacha Rais wetu afanye...
What people call love is actually a state of mental condition that causes a person to create and operate in an unfounded sense of security.
Love is a perfect state of attitude/feelings towards someone. So to expect love is to expect unexpected. No one has ever seen and/or experienced the...
Huyu DG amewafanyia fitna wakurugenzi wote waliopo chini yake mpaka wamehamishwa COSTECH. Yaani wakurugenzi wote waliopo chini yake na baadhi ya senior employees ambao aliona wanamwekea kiwingu amewafanyia zengwe mpaka wizara ikawaondoa COSTECH.
Ninazungumzia wafanyakazi wa COSTECH 15...
Jana nilihudhuria mazishi ya binamu yangu wa karibu.
Binamu yangu huyu alilelewa na mama wakambo karibu maisha yake yote.
Kilichonishangaza na kunisikitisha ni kuona kuwa mama yake wakambo alivyowekwa kando wakati wa mazishi. Ninachomaanisha ni kuwa, wakati wa kumwaga udongo na kuweka mashada...
He is no longer a rookie!
Second season yake ya NBA ndio hiyo inayoyoma. So why is our so young promising first-ever-NBAer still struggling?
Is it:
-Physical fitness?
- Mental fitness?
-Skills issue?
-Or just competition ya number hiko so tough?
Below are his recent...
She is claiming to love me, but she is sharing her dreams with someone else!!! Can you believe it???
Alright!! She never gets tired of splattering her profoundly love for me. I love you mackdaddy!.....You are every breathe I take superman!.... I like how you thrust me hard mr...
Kuna documentary moja naiandaa ambayo inahitaji video production.
Sasa basi, niliwasiliana na kampuni maarufu za video production nne (sitozitaja) hapa nchini katika ku-shop moja ambayo itaifanya hiyo kazi kwa ufanisi. Tatu kati ya hizo zinamilikiwa na wabongo wenzetu. Moja na Mkenya...
Jana nilipanda basi kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu sana. Safari yangu ilianzia Tegeta na kuishia Posta Mpya. Kilichonigusa katika safari hiyo, sio msongamano wa abiria, ukosefu wa utumiaji wa deodorant kwa watanzania wengi, ubovu wa basi nililopanda au mengineyo. La hasha! Kilichonigusa...
Hizi ofisi zetu zina vikao sijapata ona. Yaani kila ofisi ukijaribu kuweka appointment kumwona mtu fulani, utasikia yupo kwenye kikao tangia asubuhi. Ukisema uje kumwona kesho, utasikia kuwa atakuwa kwenye kikao pia na keshokutwa .na mtondogoo wiki mzima.
Ni hili sio suala la ofisi moja tu...
Yaani bila ya aibu, haya, wala soni, unakuta mijimama na mijibaba imebweteka kwenye kivuli, huku mingine ikiuchapa usingizi, wakati watoto wao (wengi wao chini ya miaka 7) wakihaha kwenye jua kali katikati ya barabara kuomba omba.
Huku ni kuwadhalilisha watoto. Kama kweli hao wazazi...
This woman wrote a letter to a morning radio show.
She and her fiancée are working on tying the knot. The only issue that comes between their plan is her fiancée is hesitating to marry her because she has bad credit. So she decided to seek out a loan from a bank to clean her credit mess. She...
1. Uwezo wa Ndege (mnyama) kuweza kuruka na kuelea
Ndege (mnyama) ana viungo gani vya ziada ambavyo vinamwezesha kuruka na kuelea angani?
Kwa nini jamii nyingine ya ndege haiwezi kuelea angani? Mfano, kuku na bata wanaweza kuruka, lakini hawawezi kuelea angani.
Je wataalam waliovumbua...
Thanksgiving is around the block
Looking for a turkey to moist out my coke (sic)
A turkey which has the thickest juiciest crutch (sic)
Ain't you the one…my naked turkey beau?
I wanna a turkey which is totally thawed and cleaned
A 120ish pound turkey with bow-legged & back-springed (sic)...
LED Lighting Emitting Diode
Natafuta mtaalam nyumbani wa kunitengenezea LED Name Display. Nahitaji name diplay 2 zenye ukubwa wa kama 60 x 12 (inches).
Katika ku-google kwangu nimekutana na vifaa hivi ambavyo vinatakiwa:
Diffused LEDs
Microcontroller
Serial socket
Ohm resistor
Multicore...
Nimeona Kang ameanzisha mada ya kuzungumzia mambo ya programming hapa: https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/33905-programming-crew.html .
Halafu Nguli akatuua wabeba maboksi wote na kusifia mtu fulani hapa...
Wabongo bana sijui tukoje!
Inakuwaje hatuwi wakweli ikija kwenye masuala ya kushirikiana kikazi/kibiashara? Kwa nini tunapenda kupeana matumaini yasiyo na matumani? Nimekuja kwako kuongea nawe kuhusu uwezekano wa kampuni yako kushirikiana na kijikampuni changu kiofisi.
Sasa wewe badala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.