Search results

  1. kabon14

    Njoo Dar ujifunze maisha

    Ukiishi DSM lazima uwe dalali
  2. kabon14

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Yanga ni timu mbovu sana
  3. kabon14

    SoC02 Tubadili mtazamo ili kuepukana na tatizo la ukosefu wa ajira

    Kabla ya kubadili mfumo wa elimu, tunatakiwa kutafuta maarifa yakayo tusaidia kufika tunapotaka.
  4. kabon14

    SoC02 Tubadili mtazamo ili kuepukana na tatizo la ukosefu wa ajira

    Habari wakuu! Niwazi kuwa vijana wanapitia changamoto za ukosefu wa ajira licha ya kuwa na sifa za kuajirika. Wimbi la wasomi linazidi kuongezeka ilhali namba ya waajiri ikiwa pale pale ua kuongezeka kwa kiasi kidogo. Je, tatizo ni kwamba hakuna nafasi za kazi au waajiri hawawezi kumudu idadi...
  5. kabon14

    Wakuu natafuta kazi nina astashaada ya ICT

    Unaweza programming?
  6. kabon14

    Swali gani gumu ulilowahi ulizwa na mtoto mdogo?

    Dogo baada ya kuskia tunapga story kuwa jamaa flani ni shoga, dogo kauliza shoga ni nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kabon14

    Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?

    CHADEMA haiwezi kufa mpaka CCM itoke madarakani Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kabon14

    Nakusudia kumshtaki baba yangu

    Kwa ambao hamjawahi kuletewa mapichapicha na wazee wenu mnaweza chukulia poa. Mimi ni mmoja wa wahanga nakushauri mkuu shtaki hilo zee huna kosa wala laana yeyote hapo.
  9. kabon14

    Hivi ni kweli kuwa Rais ana mamlaka ya kufanya chochote anachotaka?

    Salam wakuu! Yameishasemwa mengi...! Nimekaa nikawaza kuhusu mwenendo wa jitihada za kupambana na corona hapa nchini nikapata maswali kadhaa ambayo sijayapatia majibu. Ni wazi kuwa hakuna anayeridhishwa na ushiriki wa rais katika vita hii. Ukiachilia mbali kwa inavyosemekana kuwa rais hayupo...
  10. kabon14

    Usabato mgumu, lesoni za kupitia kila siku zimenishinda kwakweli

    Niliachana nao miaka mingi sana na nikaachana na habari za kusali! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. kabon14

    Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza!

    Tunapotakiwa kudeal na issue za kisayansi kama magonjwa ni vyema tufuate ushauri wa wataalamu na sio suala la utashi wa mtu flani. Ugonjwa umeanzia huko ilikoanzia na walioweza kupunguza maambukizi wanashauri kufanya ABC nyie mnasema hamtaki kuiga, are you serious? Mbona magonjwa mengine...
Back
Top Bottom