kwa hiyo we umeolewa na kutembea ila bado hujastaarabika,hayo mambo mwambie mwandishi maggid sio mimi,au kwa kukusaidia omba talaka ili uonekane hujui kitu ili tuanze upya
bro pamoja na kuoa mzungu bodo hastaarabiki tu,ndo matatizoya wahehe,shule ndogo brain haipo smart thats y,ngoja ntampa taarifa mzungu anyang'anye laptop,lkn sometimes tuvumilie coz hata mke wake kamzidi umri so ni kama anambemenda,mwambi rostamhatampa chochote zaidi ya kumpotezea amani kwenye...
yaani kila nikiamka siwaoni african dreams naona makamasi tu.kila kanakoingia katoto ka mkulima,bwana lusinde hilo sio eneo la kutafutia umaarufu,wenzio wenyeviherehere kama wewe wamekuwa toto vjiwe stick........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.