Sababu ya kutamani ilikuwa nini mkuu washuhudie ndoa ya Saffiya ambaye wazazi wake waliuwawa na Muhammad na kuolewa kwa nguvu au Aisha aliyeolewa akiwa na miaka 6
Au walitamani waone safari ya Miraj
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Mkuu ni uamuzi tu wa kuchagua dhambi zako
Msanii maarufu Zuchu alikataa kutangaza pombe kutokana na imani ya dini yake ,amechagua kutofanya baadhi ya dhambi
Kuna jamaa zangu waislam wanabeti ila hawali nguruwe
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Ukiwa muislam dhambi zinapimwa kwenye mzani, mzani wa mema ukizidi pepo ni yako ukizidi wa mabaya moto wa kwako kwa hiyo ukiwa Muislam unatakiwa ubalance mema yazidi kuliko mabaya
Hii ndo raha ya uislam
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Anzia mwanzo mkuu
1 Wakorintho 1
20 Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?
21 Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa upuzi...
Mkuu kwa hiyo unaamini hamna hukumu ? ukiamini hivyo itakuwa hamna hata haja ya watu kufanya ibada na matendo mema
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Nabii alipewa na Allah uwezo wa sexual strength ya 30 men according to Sahih al-Bukhari Vol 1:268
Hii inakuonesha jinsi gani sex ilivyo ni kitu cha muhimu kwenye deen ya haki
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Mkuu hata kumuoa Safiya ni hikma za Allah zilimuongoza hakuwa anajichukulia mwanamke kwa idhini yake na hiyo ilifanyika ili kupunguza uadui dhidi ya wayahudi
Allah ndo mjuzi zaidi
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.