Heshma kwenu.
Hivi mwanaume umekaa bar na mpenzi wako unakata kiroba nae anapga sodabanakuja kidume mwingne anakata serengeti bt kila dakika mchumba wako anatoa jicho kwa mshkaji,kila akicheka anamtizama mshkaji.
Hivi we mwanaume unafanyaje?
Najua huku wapo watu wenye kupata taarifa za uhakika,tafathal nijuzen ajira ya ualimu awamu ya pili yatatoka lini mana mwanzo nimekosekana,pls mwenye taarifa anijuze
Baada ya kutimiza wajibu wenu maeneo yenu ya kaz.
Nawaomba vijana kwa wazee ku2mia uelewa wenu akili zenu,vidato vyenu kuikomboa tanzania.2pate tanzania ambapo hakuna matabaka,2pate tanzania ambayo hata watoto wa rais,mawaziri,maofisa na wakurugenz watawapeleka watoto wao shule za kata ambapo...
kweli nimeshndwa narudia tena nimeshndwa, mimi ni kijana wa 25-30 umri wa kuoa au kuwa na msimamo na mchumba uliye na malengo nae, mwaka 2007 nilimtongoza mdada mmoja wa maeneo ya kwe2 akakubali, 2kapendana kweli kweli, mpaka 2010 mwshoni 2kawa kwenye uhusiano vizuri, sasa ikafikia mahali...
Ni maajabu kuona watu walofeli mitihan ndo wanapelekwa kuwa walimu,c wote ila wengi ni wale walofanya vibaya,navyofahamu mimi ktk sector muhmu ktk maendeleo ya nch yoyote ni Elimu, iweje wenye kufanya vizur wasipelekwe ktk sector hii? Iweje sector kama politics vyuon, law, sociology ndo viwe na...
najua huenda nimekosea njia,lakin pia c mbaya 2kaangalia hii mambo ambayo inanikeraga kupita maelezo na huenda nawe yamewai kuku kumba.nimesoma na kukaa na watu wengi wenye tabia tofauti,ila kinachoniuma ni kuwa nimekua rafiki wa ukwel haswa wale marafiki zangu wa karibu,hakuna best yangu...
mimi naitwa BOTILO au bia,nimejiunga jf mana panasisimua,changamsha,wazisha,furahisha,chekesha na mengne yoote yaan huku hakuna balaa wala keleui,naomba kukubaliwa na wadau wote cjalewa sa hv jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.