Hayo ni maamuzi mazuri na yenye hekima. Kumrudia Mungu ni jambo nzuri sana. Mungu akubariki kwa uamuzi huu. Nenda kwa askofu Mkane pale TAG - MLANDEGE utaongozwa vizuri.
Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba msaada.
Habarini ndugu zangu wana JF,
Leo nilikuwa pale OUT branch ya Iringa nikihudhuria orientation course. Ndugu zanguni wanafunzi wengi wameingiwa na hofu kubwa juu ya hatma yao kuhusu msimamo wa Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako wa kufuta foundation course na kutimua wale wote waliokwenye...
Habarini wapendwa wa Jf, kwanza naomba kuwashukuru wadau wote wa masuala ya elimu kwa michango na mawazo yenu mazuri ambayo mmekuwa mkiitoa pale mtu anapohitaji msaada wa jambo lolote linalohusu elimu. Moja kwa moja naomba niende kwenye mada iliyonisukuma kuwaandikia na kujiuliza kwenu. Mimi ni...
Kiukweli serikali haijaidhinisha viwango vya GPA zinazotakiwa ila ni kasumba ya vyuo vingi vya Tz kama UDSM, UDOM, SUA,DUCE,MUCE, SAUT, RUCU, ST. JOHN, MWENGE, etc. Kutaja vigezo hivyo vya GPA nilivyokuwa nimevitaja hapo awali.
Yaani yeye ana GPA ya 2.0undergraduate na masters ni 3.0 sasa nilikuwa najiuliza akimaliza hiyo Phd atafundisha chuo gani? Na hivi wanakomaa kuhusu GPA kuanzia 3.8undergraduate na4.0masters in case anataka kuwa lecturer wa vyuo vikuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.