Hivi huyu mtu ni intelligent kweli? Maana nimepata kusikia ana uwezo mzuri wa kufikiri. Unaweza vipi kutoa takwimu kama hizo? Namwambia ukweli January ajaribu mbinu nyingine. CCM is in bad shape popularly on the ground. I suspect bad samples have been taken.
Kutabiri kwamba chama kitaingia kwenye kwenye mgogoro ni kama kutabiri kwamba binadamu atakufa siku moja. Hakuna chama chochote cha siasa duniani ambacho hakijawahi au hakitapata migogoro at some point! Hawa wanachama na viongozi ni binadamu wenye mawazo na mitazamo ambayo haiwezekani ifanane...
I will have to search for the exact words that Mzee Sitta has used. BUT if what is reported here is correct then Mzee Sitta is becoming another bother himself!
If you discover that you have been doing an incorrect thing it is always good to amend and move in the right way. Opposition MPs have...
I cannot agree more! CCM has outlived itself and is now more of a hindrance to the country's development than a vehicle for the betterment of the people's lot. I await with anxiety the coming of 10th July to see what they will do. I am sure of one thing, however, that they will come with a...
Kila ninapoona tuhuma za rushwa "ndogo ndogo" nabaki tu kushangaa. Mabilioni ya fedha yanapotea kupitia misamaha ya kodi na wahusika wanaendelea kupeta kila uchao. Serikali hii ya sasa imekumbatia rushwa na wala rushwa kwa kiwango cha kutisha. Mabadiliko yasipotokea haraka nchi yetu itaangamia...
Sad to see somebody so biased against a person who has shown the willingness to work for the good of Tanzania. Parked lorries, yes they are a problem equally problematic are structures built in areas that are suppoed to be road reserves! Even the decision to stop the demolitions is by and large...
Hao wanaoandamana kumuunga mkono JK waachwe waandamane. Sisi CDM tutakuwa tunakosea sana kama tutarusha madongo bila kuzingatia hoja za msingi. Tunachotakiwa kufanya ni kuendelea kuwapa elimu ya uraia na haki zao bila kuchoka. Ninao uhakika wanafanya maandamano bila kujua nini hasa wanahitaji...
I do not very often comment on issues that are raised in the forum. But on this I would rather ask the author to think in a logical way before writing anything. This type of people negate the cause that JF has set out to achieve through well researched exchanges and debates. In any case it takes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.