Nimesikiliza mwanzo mpaka mwisho HAKUNA lolote la maana lililozungumzwa.
Magamba kwisney...........PIPOZ.......................................................POWER
Tbc nao ni lazima waanze kuvua gamba tayari kuvaa gwanda. Na hizo gharama za kesi alipe Makamba yusuf kwani yeye ndo aliyewadanganya wenzake kukata rufaa kila jimbo iliposhinda cdm
huyu fataki mwache tu aringe na kodi za watz kwa kuita vijipety cash kama mwenzake chenge siku si nyingi vitawatokea puani.....siku zao zinahesabika mbona...........M4C is near.
Huyu dd sujui cdm imetokana naye wapi. hivi kwa busara za kiuongozi hata kama Heche alianza kukosea kwa hiyo naye akaona ni busara aendeleze kukosea kwa kuita press conf.........nadhani hapo kuna kitu nyuma ya pazia la huyu dada.
Tusimkawize apashwe ukweli wake kwenye kikao cha 24/05 ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.