Salam,
Naitwa Noel na nimekuwa mdau mkubwa sana kwwnye jukwaa hili la sheria na nimeona ushauri mzuri unaotolewa na wanasheria waliomo kwenye jukwaa.
Niende kwenye mada husika hapo juu nilikodi shamba mwaka jana ili nione najikwamuaje na ukosefu huu wa ajira unaotusumbua vijana wengi...
Hili la mtu kutokujisikia kuendelea na.kesi huwa linanikera hatari..yaani watu wameiba dhaabu wametia hasara taifa wametumia ofisi vibaya hafu dpp akilala akiamka hajisikii kuendelea na kesi eti mahakama inamsikiliza..na inamsikiliza bila sababu ya msingi hasara walizoingia watu kwaanzia familia...
They gave the 4n back to you ee...maana siku mbili tatu hizi ulikua unaandika utumbo tu..tuliokufanya roll modo tukaona polepole mwingine slowly anajitokeza
Walianza na.kuvujisha siri za nabii gwaji akimpa mtu vitu vitu vya moto ikavuja tukacheka tukisema sio yeye wengine wakisema ni yeye Mwisho gwaji boy saa hii amevunja mayai mengine ili ale chips yai na sasa wamevujisha ya wastaafu bado tunacheka tu bado mimi na wewe.hakuna aliesalama japo...
Niungane na wewe kwa kusubiri kuthibitisha kuwa ukiwa na akili ccm hawakutaki na ukibahatika kuchaguliwa basi akili ziache nyumbanu uwe zezeta BASHE ukiwa mpuuzi kama kina kabudi basi nitaamini walichokuwa wanasema watu kuhusu ccm kuwa ni chuo cha kulemaza akili
To me bashe is greet guy ila kumfanya naibu sio poa kiivo..yule alipaswa kuwa wziri wa biashara na viwanda kuna kitu kichwani kwake i adimire him..tatizo cxm ukishapewa uwaziri akili zako halisi ziache home utakuta za mazombie ofisini'..hayo ya kina makamba watajuana wenyewe bashe tusibitishie...
Kwa.jinsi alivokua anatia machi yule alimaanisha hicho alichosema wala hakuteleza wee sema akili ilipigwa na ukungu akasahau kuwa lile dili ni la siri geye kalitoa nje
Kama profesor paramaganda alikana alichozungumza intanationaly Na video yake kaikana yaani hadi naehojiana nae kakiri alichosema kabudi hujiulizi kabudi ujasori wa kukana kile alitoa wapi?msiba alisema ukiwa na dgree ya unafiki ndo ccm inakuelewa..vipi kabudi kakana je nape ambae haonekani...
Hapa huwa ndo ninaposhindwa kuelewa huzi kesi za kuhujumu uchumi zimekaaje?mhujumu uchumi ambae hadhaminiki hata akiwa mahakamani anaachiwa kwa dpp kujisikia tu kumwachia...ifike mahali mazingira ya dpp kujiamulia yafutwe maana akijisikia kuagiza ukamatwe akusoteshe rumande aje akuchie badae...
Wafunge wooote waondoke tuanze upya maana bila kuimba wimbo mmoja wote hatutaelewana..walianza wanasiasa wakaja wanaomaliza chuo wakaja wenye vyeti feki wakafuata wastaafu wamekuja kwa wamachinga sasa imeenda hadi kwa waandishi wa habari waajiriwa serikalini hao hua ni sikio la kufa hadi wakose...
Haha kweli njaa imekurudisha tunakotaka wewe..yaani hata wewe kwa sasa una reason kwa kutumia vile vitu ambavyo hata kwa mtazamo wa asiekwenda shule atagundua Kuwa hivo ulivovitaja havijahusika kwa lolote kusisimua uchumi wetu kwa sasa tumani tulobakiza ni reli ndo nahisi inaweza kwenda...
I knew it ndo ina akisi jina langu tokea zamani mwanamama kalitumia kakomboa taifa lake ma ccm mtaani yanaropoka yakikaa na mwenyekiti wao kila mtu anaufyata wanamsifia tu.
Haya sasa tumekaa kimya kuhusu trilioni 1.5 na sasa imeongezeka hadi 2.3
Tumekaa kimya kuhusu uchumi kushuka mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.