Naitaji maeneo mbele ya ubongo na nyuma au magomeni....
Iwe ni standard na bei ya kawaida... Naomba hata kama una namba ya dalali maeneo hayo niPM
asanteni
Toka jana nafuatilia mjadala huu, sababu za kuufuatilia kwanza ni kuona Jina la Deus Mallya humu, pili kuona ustadi wake mkubwa wa kujibu masuali na tatu ni kuona kama atajibia tuhuma za utapeli kama anavyopewa na Maege na wenzake.
Nachoka kusubiria majibu ya hizo tuhuma, naomba kaka Deo...
Mnakaribishwa katika uzinduzi wa video album ya st augustino choir UDSM main campus itakayofanyika katika ukumbi wa nkrumah siku ya tr 6 yaan jumapili ijayo. Itakuwa ni full burudani kwaya nyingine nyngi na bendi maalumu. Usipange kukosa sababu utasimuliwa sana.
Karibuni sana.
wengi hawajui mazingira ya hizo kazi unakua kama punda...mi niliacha kabla ya kufikiria. kama ipo ipo tu piga chini utapata nyingine. hawa watu ni wadhalilishaji sana.
acha hiyo kazi hayo ni matusi na dharau..then katika maamuzi kama hayo ushauri au taarifa ni baada ya kuacha. mi niliacha nilikua nalipwa 7000 per day nimekaa kitaa then sa hv nimepata pamoja siyo nzuri sana na ni ya muda ila sifanyi masaa 14 kama hiyo ya kwanza hawa wahindi we ngoja policy...
WE KAZI INAITAJI MTU AWE NA DEGREE YA ACCOUNTS, ARCHEOLOGY, FINANCE NA EDUCATION kwanza ni degree zisizoendana kabisa then hawakuitaji hata equivalent qualification ni hizo tu.... tusife moyo jamani ila siku moja tutaingia kwenye hizi ofisi na kwenda kuwatoa hata kwa nguvu.
Mi naona tatizo ni ukosefu mkubwa wa ajira na uongozi mbovu wa chuo kuita watu wote tulioapplly.
Tufanye nini basi: kwa wale wenye nauli zao waende huko kwa tusionazo kukopa kwa ajiri hii uwezewekano wa kudaiwa/kutolipa mkubwa.
muhimu: Ikiwemo tanzania soko la ajira linatanuka sana tutaanza...
Kazi mbili kwa akina dada natafuta;
1) mhudumu wa baa wa kike
2) mpishi wa kike
sifa
awe na umri usiozidi miaka 23
mchapa kaziajue kusoma na kuandika
- uzoefu sio muhimu.
- piga 0714148504
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.