Search results

  1. M

    Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Mtu mwenye nyimbo za kwa Mungu hakuna mzee Shinyanga baadaye iliitwa kambarage na hitaji nyimbo kabla ya kubadilishwa. na pia kuna nyimbo kama Daniel aliona maandishi yaliyoandikwa ukutani, yaliyoandikwa wapi maandishi menemene tekeli na Peresi ufalme wenu umekwisha, kweli Daniel aposikia...
  2. M

    Yuko wapi Timothy Ng'winamila?

    Ina sikitisha sana kumpoteza ndugu yetu kwenye ulingo wa nyimbo za injili. nina kanda moja hapa huwa inanifikisha mbali sana. " NI HERI UAMINI YA KWAMBA MUNGU YUPO NA USIMKUTE KULIKO KUTOKUAMINI NA UKAMKUTA". HATA NYIMBO ZAKE KWA YEYOTE ALIYE NAZO ATUTUPIE KWENYE MTANDAO INAWEZA KUTUFARIJI SANA
  3. M

    Nini tafsiri ya kiburi cha hawa vigogo wa ESCROW

    busara za mtu hazipimwi kwa elimu na akili na malezi ya wazazi ni bora zaidi ya elimu ya darasani. Kwa kifupi hawa waheshimiwa wamepungukiwa kitu kikubwa sana ndio maana wanajibu majibu ya dharau kiasi kama hiki. Ila waelewe dunia ni pana kunasiku inakuja watajutia kauli zao na matendo yao
  4. M

    Ukistaajabu ya Mulugo, Utayaona ya Nyalandu

    makubwa hawa wabunge wetu majanga yaani Historia na Jiografia wako kushoto kabisa nazo
  5. M

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Mungu alitoa na ametwa jina la bwana libarikiwe
  6. M

    Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

    hahahaha nchi yetu unatunukiwa na baraza la chuo? hii kali kikubwa wenzetu wanapoint za kutokana na research na kufanya publication za paper mbalimbali kwenye journal nzuri zinazofahamika kimataifa nasi vingine
  7. M

    POLEPOLE: Vijana jiandikisheni kupiga kura ya hapana katiba mpya

    Tukataeni ujima wa ccm sisi vijana tulio na nguvu tukisimama hakika katiba ya kihuni haiwezi kupita
  8. M

    CCM na siasa za marehemu

    hii nchi inahitaji maombi nje ya hapo ni janga kwa wananchi wake
  9. M

    Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

    Dunia hii inahitaji maombezi nje ya hapo tutaropoka sana
  10. M

    Sitta: Nafaa kuwa Rais wa Tanzania!

    Huyu jamaa ni mchumia umbo inasikitisha sana kusikia maneno ya karaha yanayotoka kwa mtu mzima kama sita
  11. M

    Karume amtembelea Mansour kituo cha Polisi

    kanchi haka kana mambo mengi sana tusubiri tutatokea wapi
  12. M

    Humphrey Polepole ni nani?

    CCM hawajamchangachua? maana ukionekana ni virus kwao wanakumiliki kisaikolojia, kiuchumi, kimaisha, n.k
  13. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne 5 Agosti 2014, Mjadala wa Bunge Maalum la Katiba

    Katiba haiwezi kuwa ya kujadili kifamilia, kirafi, kishikaji, n.k. kwa kifupi hatuwezi pata katiba tuliyokuwa tunaitarajia kwa njia hii
  14. M

    Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

    hili halikwepeki hakuna siri chini ya hii mbingu
  15. M

    Mbunge wa Tabora Mjini Aden Rage apata ajali Dodoma

    Kwa kifupi pole zake ila tunaomba wajue katiba sio ya CCM ni ya Watanzania wote wapenda maendeleo
  16. M

    Dawa ya tumbo la chango kwa watoto wachanga

    tafuta mafuta ya samaki umnyeshe hakika atapona kabisa
  17. M

    Vyakula gani ni muhimu viliwe na mama anayenyonyesha

    tafuta chakula cha lishe najitahidi sana kula vyakula vyenye mchanganyiko wa Tangawizi, iliki, bila kusahau vyakula vyenye protein kwa wingi
  18. M

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Haya wataalam wa uzazi
Back
Top Bottom