Mtu mwenye nyimbo za kwa Mungu hakuna mzee Shinyanga baadaye iliitwa kambarage na hitaji nyimbo kabla ya kubadilishwa. na pia kuna nyimbo kama Daniel aliona maandishi yaliyoandikwa ukutani, yaliyoandikwa wapi maandishi menemene tekeli na Peresi ufalme wenu umekwisha, kweli Daniel aposikia...
Ina sikitisha sana kumpoteza ndugu yetu kwenye ulingo wa nyimbo za injili. nina kanda moja hapa huwa inanifikisha mbali sana. " NI HERI UAMINI YA KWAMBA MUNGU YUPO NA USIMKUTE KULIKO KUTOKUAMINI NA UKAMKUTA". HATA NYIMBO ZAKE KWA YEYOTE ALIYE NAZO ATUTUPIE KWENYE MTANDAO INAWEZA KUTUFARIJI SANA
busara za mtu hazipimwi kwa elimu na akili na malezi ya wazazi ni bora zaidi ya elimu ya darasani. Kwa kifupi hawa waheshimiwa wamepungukiwa kitu kikubwa sana ndio maana wanajibu majibu ya dharau kiasi kama hiki. Ila waelewe dunia ni pana kunasiku inakuja watajutia kauli zao na matendo yao
hahahaha nchi yetu unatunukiwa na baraza la chuo? hii kali kikubwa wenzetu wanapoint za kutokana na research na kufanya publication za paper mbalimbali kwenye journal nzuri zinazofahamika kimataifa nasi vingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.