Mpaka nimeamuwa kuandika; nimeshidwa kuvumilia nataka majibu
Mke wa kwanza baada ya kumpa talaka mungu kanijaria nikaowa tena; baada ya mwaka tumepata mtoto,
Sasa matatizo ndio yameaza,napewa tendo la ndoa lakini wife kama jiwe, wakati mwingine mpaka namuomba kukatika, namshika anasema kachoka...
Nimemkuta wife anachart kwenye WhatsApp mwanaume mapenzi moto moto na kuitana baby honey Darling nimejaribu kumkanya lakini bado anaendelea.kutoelewana mbele za watoto, miezi mitatu watoto wamebadilika tabia, leo siku ya saba nimeondoka mimi nimemuachia watoto na nyumba; nawapenda sana watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.