Kifaa hiki kinawafaa wale ambao wana bustani au mashamba na wangependa kuratibu muda wa kumwagilia bustani au mashamba Kipo vizuri sana hakina tatizo lolote.
Kipo complete na koki yake
kama utahitaji toa oda yako boss,au ukitaka kuiona ilipo fungwa tutakupeleka uone...na kwangu mm hulipii chochote hadi mita itakapo fungwa,hata hivyo hiyo hapo kwnye link ya huyo mtu ipo tofauti na hii ya kwetu..
Pia kuna sababu inayowafanya Tanesco wasifunge mita nyingi zinazo jitegemea sehemu moja...si sababu za kiufundi zaidi ni sababu za kimapato,biashara ya uuzaji umeme sio kama biashara ya watu wa maji mfano dawasco.
Umeme unakitu kinaitwa Tariff,hicho ndo kinaleta changamoto ya kufunga mita...
Mita zinatumia line (line za simu)hii ndiyo inatoa utambulisho wa mita yako, pia mita zenyewe zina amba zake (kama zilivyo tu za Tanesco, kila mteja anakuwa na data base yake ukinunua umeme mteja wa mita namba 1, umeme utaingizwa kwako wewe wa namba 1, uhakiki wa ukweli wa units na mita gani...
-Inatumia line (mtandao wowote),line kwa ajili ya kuwasiliana na system,kutuma na kupokea taarifa.
-Mpangaji atanunua umeme kama kawaida na kujaza mita kubwa ya tanesco,akisha jaza..system
zetu zitaditect na zitaijaza mita yake ndogo UNIT zile zile alizo nunua,kwenye mita kubwa,unit za
mita...
Panel 24v watt 200 zipo mbili kila moja tsh 200,000/=
Inveter watt 1000 puresine wave watt 1000 volt 24 bei Tsh 150,000/
Location Mtoni kwa Azizi Alli Dar es Salaam
Simu 0717698515
Sio mara ya kwanza mafunzo kama haya kutolewa mara ya kwanza yalitolewa April mwaka jana na angazo lake lilichapishwa hapa hapa jamiiforums japo wengi walipuuzia,lakini baada ya kuona machapisho hayo ya mafunzo yalivyofanyika wengi wakaanza kuulizia ni lini tena tutatoa fursa hiyo,Kwakuwa...
Mafunzo haya yamekua yakitolewa kwa gharama kubwa ,Lakini Digital Poultry itatoa mafunzo haya kwa watuwote ambao wangependa kujifunza namna ya kuunda mashine za kutotoa mayai ya kuku lakini hawana uwezo,hivyo watu wote wanakaribishwa katika mafunzo kwa vitendo yatakayo husisha uunganishaji wa...
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi makubwa ya internet hasa mitandao ya kijamii,Nijuze inayo furaha kutambulisha mfumo ambao utaleta manufaa ya kiuchumi kwa watumiaji wa internet ambao wanamiliki kurasa zenye watu wengi katika mitandao ya kijamii na blogs...
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi makubwa ya internet hasa mitandao ya kijamii,Nijuze inayo furaha kutambulisha mfumo ambao utaleta manufaa ya kiuchumi kwa watumiaji wa internet ambao wanamiliki kurasa zenye watu wengi katika mitandao ya kijamii na blogs...
UTANGULIZI.
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi makubwa ya internet hasa mitandao ya kijamii,Nijuze inayo furaha kutambulisha mfumo ambao utaleta manufaa ya kiuchumi kwa watumiaji wa internet ambao wanamiliki kurasa zenye watu wengi katika mitandao ya kijamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.