hizo ni propaganda ili wananchi watulie c mnajua tena watanzania tunaongozwa kwa matukio?bora angekuwepo presdaa wa awamu ya 3 na cyo huyu mkwere ambaye anapenda starehe bila kuangalia walet inasomaje mfukoni
Kiboonde mwenyewe hana jipya tangu apewe wadada katika jahazi ashakuwa shosti anakera bora kipindi waachiwe wadada ila udsm student wameanza kukosa mwelekeo wa elimu na hadhi yao ya kuitwa wanafunzi wa elimu ya juu eti wanandamana kwa kibaraka kama kibonde hawana hata haya wanatakiwa watoe hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.