Just because you know someone doesnt mean you love them,
And just because you don't know people doesn't mean you cant love them,
You can still fall in love with a complete stranger in a heartbeat,
kama Mungu amepanga itokee kwako
So marafiki fungua moyo wako huwezi jua Mungu amepanga nini kwako...
Nachukua nafasi hii kuwapongeza wenzetu wote waliokuwa wamefunga kwenye
huu mwezi Mtukufu, marafiki zangu wa karibu sana pia nawapongeza sana
na ninawatakia sikukuu njema ya Eid
Mfurahie sikukuu huku mkitafakari kwa undani kabisa uzito wa mwezi huu na
mlipoweza kufunga, yale mema yote...
Habari wakuu, hivi mmenote wanaume wembamba sana wanapenda sana wanawake wanene?
Yaaani utakuta kijana mwembambaaa mwanamke wake mnene kupita kiasi, hii inatokana na nini? Kuna uwiano gani kati yao? Yaani kuna kaka mmoja mwembamba kama avatar ya fidel ila anapenda mizigo mikubwa ile mbaya, na...
Wakuu embu tujadili huu msemo, kuna mdada wa makamo alikuwa anasumulia jinsi alivyotoka mbali na
Mumewe, na jinsi alivyoteswa na huyo mume kiasi cha kuondoka home kwa mda wa mwaka na kwenda
kuishi na mwanamke mwingine
Baada ya mwaka huo akarudi akaomba msamaha kwa mkewe, wakabariki na ndoa...
Hi wapendwa wangu za jumapili, nimekuja leo naomba ushauri kwa hili linalonisibu, nina partner wangu tuko nae muda kidogo, nampenda na yeye ananipenda na kunijali sana, kuna hali imejitokeza kwangu nachoka na routine ileile anapofanya mapenzi na mimi. yaani kwa mfano kila tukianza kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.