Yesi saa!! Ktk swala la maadili, kuna mambo ya ujumla kwamba ktu hk hakika hakifai, na kuna mambo ya binafsi kadiri ya kabila na kabila. Sasa ktk wimbo wa alaji hauna maadili. Wewe uly great thinker, ukiona alaj utakubaliana na mtoa mada kuwa haufai kimaadil
Nimekuwa nikichunguza hoja zinavyochangiwa humu ndani na mawazo yanavyotolewa toka mwaka jana. Nkawa nawavumilia sana wenye mawazo kama haya. Sijui wanashida gani, au kichwan n tope. Mmm lakn uhuru wa kuongea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.