Habarini za majukumu ninagari aina ya Toyota Celica ilikua inasumbu kabla tatizo la kuchemsha Nika badili injini.
Ila toka nimefunga mpya maji hayakai kwenye chupa kidogo Cha maji Ila haichemshi.
Na hata nikijaza ukalala asubui sikuti maji naomba msaada.
Jamani naomba kufahamu mambo haya kuhusu gari tajwa hapo juu
Gari ina cc 1998/2000, na ni 4wD / 2wD
Left hand diesel
Auto TM
Swali , je nitatumia 1L kwa kilometre ngapi?
Na vipi kubusu ubora na vipuli vyake yani upatikanaji nabei
Pia nini changamoto ya gari zakushoto.
Ahsanteni sana...
Kauli iliyo tolewa na generally na akasisitiza kuwa hii ni operation kama zingine hivyo walale kwenye mahema
Na watumie mishahara yao.
Vijana wa jkt wameondolewa kwenye magadauni yote .
Chanzo ni macho na masikio yangu
Jamani naomba msaada nifanyeje kuna askari police wa kituo cha bugarama kahama
Ameniambia ataniteka Siku ya jmos tarehe 29 kwa sababu aliniomba rushwa ya 50000 sikumpa naomba msaada sifanyeje jina kapuni kama roma
Naomba kuuliza kati ya hizo GARI mbili ipi
Ina nifaa kwa Mimi mmakonde ninaeishi mwanza kuwahi misiba Na sherehe za unyago kwa Wakati bila shida kule south kwa che mkapa/ bonde lagesi?
Ule msemo wa kufa kufaana unajidhilisha LEO
Wengi wamepata kujua uchafu, hila Na njama pamoja Na usaliti wa huyu mzee
Alikua ana wasaliti ccm Na kuvujisha siri za utawala kwa vijana wa upinzani akina zito zuberi
Kifo chake kimeweka wazi majibu Na maswali ya watu kuhusu
RICHIMOND Na lowasa...
Habari za mapunziko
Nilileta mada hapa ndani kuwa nahitaji mwanamke wakizungu ili nimpiku hamonizer pale kikijijini kwetu mahuta
Kweli nimefanikiwa kupa mke ingawa kuna changamo kidogo
1. Umri umenda sana tofauti ya miaka 15
2. Watoto mapacha amboa nahisi wanafaa kutumia Mimi
3. Lugha...
Ile kasi ya majipu imegundua kosa na imeanza kujirekebisha
Nazani mkuu kashaulia, wafanyakazi wengi wali simamishwa kazi wakawa wanachuakua mshara uleule bure na nafasi hiyohiyo analipwa MTU tena
Sasahivi uki halibu ni mwendo wakushushwa Cheo, kubadilishiwa kitengo, kupunguzwa mshara au...
Ni ukweli usiopingika kuwa ule mpango wa CCM, ACT Wazalendo kuvunja CUF Bara umekamilika, mpango uko hivi...
1. Wametumia mbinu za Lowassa za kwenda upinzani na wafuasi wengi
2. ACT Wazalendo itawapokea wanachama wote watakaomfuata Lipumba
3. Jimbo la Magdalena watarudia uchaguzi na ni...
Siku zanyuma wana nchi waliogopa upinzani kwa sababu zifuatazo;
1. Waliamini wataleta vita.
2. Wafanyakazi walijua wata banwa kutokana na ajenda za ufisadi na uwajibikaji.
3. Wafanyakazi waliogopa upinzani unge wapunguzia mishahara .
4. Wananchi waliogopa utawala wa mbavu.
Ila yale yote walio...
Si tu mfalme juha Bali nakumbuka pia vitabu vifuatavyo
1.Nchi yakusadikika
2.joka la mdimu
3. Rwanda magere the rock
4. Nchi ya ahadi
5. Mfalme la la la!!
Poleni ndugu na jamaa walio kbwa na tete meko la aridhi.
Pia hali ilivyo sasa niwazi kuwa kuna dalili la kuwepo tetemeko kubwa la Uchumi
Hili Lita tokea kwa sababu ya mtu mmoja kujiona yeye anaweza kila kitu. Akazarau wasomi
Akatumbua wazoefu
Aka wabana wasi mkosoe
Ndugu hata ,mungu...
Si watu wa kupatwa kwajua tu, hata sisi wa gesi haitoki, pia hata wale wa kanda ya tetemeko achilia mbali watu wa kanda ya mwendokasi
Wanasema kwa kawaida Namba haina mwisho, na mwambieni watu wa katikati ya nchi wanasema ccm sio ileile mana zaidi ya kuona Magari ya mawaziri hawana faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.