Kitaalam Mo extra ni energy drink au siyo?
Na kama siyo kwanini watu wanaihisi kama ni Energy Drink?
Tunaomba msaada wa kikemia.
Nimecopy Moja ya Comments Huko Chini kutoka kwa America nigga.
"Energy drink ina sifa kuu ya kuleta nguvu na uchangamfu haraka kutokana na viungo vyake kama...
Nina maswali kadhaa juu ya kuwafukuza kazi hawa walimu wakuu.
1. Kwanini kwenye Mikutano ya CCM, Zuchu anaalikwa na anauimba wimbo uleule mbele ya Viongozi wa Serikali na wanafunzi na wanacheza kwa pamoja na haliwi kosa?
2. Kama Wimbo wa Zuchu una makosa kwanini Basata Wasingeufungia ili mtu...
Mimi ndo mfalme wa hayo mambo na nathubutu kusema wewe ni mwongo, hujaacha ila haupo sawa kifedha, ngoja upate fedha af uone Tako linapita likiwa na kimini.
Si hivyo mzee, ninakuwa si mgeni kabisa wa maeneo ninayoenda, Jambo jingine la kushangaza ni kuwa mwezi wa kwanza au wa pili tangu nitoke hometown nikiwa ugenini mambo huenda vizuri sana ila kadri muda unavyozidi kwenda hali huanza tena kuwa ngumu.
Waziri Jambo hili limekufikia wewe Na ndie Target sahihi katika suala hili, naamini litafanyiwa kazi haraka iwezekanavyo. Beach maarufu kwa matukio haya zote zinajulikana. kwanini msiwape kazi vijana wa SUMA JKT kufanya Doria katika Beach zote na kutoa adhabu kali kwa wote wanaofanya hiyo...
Hello, kuna jambo la kushangaza kunihusu.
Nimeligundua, nikiwa mbali na wilaya niliyozaliwa mikosi inaniandama mpaka natamani kujiua, ila nikiwa hometown mambo yanabadilika kabisa, fursa zinanifuata zenyewe, na hata nikifanya biashara sitapeliwi wala kupata hasara kama nikiwa nje ya hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.