Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu,wale wateja wa hiliki napenda kuwaambia iliki ipo ya kutosha na mwezi 8 mwaka huu itakuwa tayari kwa kuuzwa.
Hivyo basi kama unahitaji mzigo weka order mapema sababu wanao itaji mzigo niwengi.Kama unataka mzigo njoo ukiwa umejipanga utapokelewa bila shida...
Nilikuwa nasikia watu wakisema "bora ukosee maisha kuliko kuoa" hapa ndo napata picha safi na kugundua wale vijana wazamani walio kuwa wanatafutiwa wake na wazee wao hawa hawakuwa wajinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.