Ni ushauri wa bure kwenu laini zote ambazo hazijasajiliwa ifikapo deadline yenu basi fanyeni yafuatayo:
1) Zipunguzieni muda wa kupatikana. Mfano zipatikane asubuhi hadi alasiri.
2) Ziweze kuongea kwa dakika zisizozidi tano (5) kwa siku.
3) Miamala yake isizidi elfu tano kwa wiki.
4) Data...
Leo imekuwa ni siku ya pilika nyingi kwa wabongo hasa wa DSM
Kuna mwanasiasa eti hajui kwamba airport kuna kitengo cha cargo
Lakini huyu ni msomi ,shida ni kuwa Leo ni Siku ya kujisahaulisha .
Achana na hilo nimeangalia TV naona vijana watupu wamesahau shida zao wote wamekua wanariadha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.