Tangu lini wavuvi wakaamua hatma ya nani awe raisi wa nchi ya Danganyika acheni masihara basi ,mwendazake kabla hajawa raisi aliwaambia watu wa kigamboni wapige mbizi na bado akawa raisi ccm ni zaidi uijuavyo ..............
Hao watuuzie hiyo ardhi yao ya Kenya wagawane hiyo pesa wahamie Papua new Guinea au Bangladesh, huku east Africa wamechokwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ushauri wa bure kwenu laini zote ambazo hazijasajiliwa ifikapo deadline yenu basi fanyeni yafuatayo:
1) Zipunguzieni muda wa kupatikana. Mfano zipatikane asubuhi hadi alasiri.
2) Ziweze kuongea kwa dakika zisizozidi tano (5) kwa siku.
3) Miamala yake isizidi elfu tano kwa wiki.
4) Data...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.