siyo tu kiduku, vinywele vichafu vimejaa vumbi vimesokotwa, sijui ndo wanaita kiduku msokoto na kisuruali kina matobo magotini na mapajani, baadhi ya boda wapuuzi sana asee.
na je vp ukipima kipimo kikaleta mstari mmoja ila baada ya masaa 4 kikabadilika na kuleta mistari 2 hapo inakuwaje, kwani kipimo kinatoa majibu sahihi baada dk ngapi wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app
angalau wawe kama mwanza vile, maana Mwanza kuna stand mbili, mabasi ya yanayotokea mkoa wa Mara, Kenya na sehemu ya mkoa wa Simiyu yanyewe huishia Buzuruga stand isipokuwa yale yanayopitiliza huenda mpaka nyegezi terminal, na mabasi yanayotoka kanda karibu zote za nchi na Uganda kule husimama...
Pole sana ndugu na hongera kwa kupambana mpaka hapo ulipokia Mungu wa Mbinguni ni mwema sana azidi kukulinda na kukujalia maisha marefu yenye upendo, mafanikio na baraka tele.
Ila ndugu umenipa ka elimu kumbe ndizi mbivu ni dawa ya presha ya mimba!?
hata Abuja haijawai kuizidi Lagos huko Nigeria, Yamossoukuro haijawai kuizidi Abidjan huko Ivory cost au Capetown kuizidi Johannesburg kule South Africa.
Ila bodaboda jamani, jana kule Mwanza kama km 2 hivi kutoka nyegezi standi wakasabaisha ajali basi la Abood leo kama masaa 24 hivi yamepita eti Moro nako haohao, hivi baadhi yao huwa wanawaza nini vichwani mwao jama!?
njombe cpajui vizuri ila kahama ule mji hata buzwagi ufungwe kesho ule mji ushaendelea tayari, yaani in sawa na kusema kwasababu serikali na wizara zote zinahamia Dodoma halafu useme Dodoma itaizid Dar kimaendeleo na kiukuaji hiyo haipo. Pia kumbuka kahama pale kuna ofisi nyingine za kimkoa ziko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.