Kuna mdau nimesoma post yake humu anajuta kumunganishia mtu kazi,hii kidogo ifanane nayo kwa mbali
Kuna dogo mmoja around 25 anapiga kazi zake za Bajaj muda mwingine unakuta amepoa tu mtaani anasikilizia!
Sasa sisi mara nyingi kwenye high season tunafanyaga kazi za kupanda mlima Meru na...
Habari zenu wote?
Leo Kuna jambo nimekaa nikatafakari sana!
Tulivyokua wadogo tuliwaona wazazi wetu ni kama watumwa wakutulisha,kutuvisha,kutusomesha na mambo kama hayo!!
Kwa Sasa mi ni mwanaume(mzazi) wa around 35-40 nimekuja kugundua jambo!
Kuna muda mzazi unakata tamaa kabisa na watoto...
Habari zenu wakuu?
Kuna hili swali Huwa najiulizaga muda mrefu sipatii jibu pengine hapa naweza pata ufahamu!
Nilipenda kujua muwa ni nini he ni tunda, kinywaji, mboga, nyasi au nini?
Asanteni
Hawa TMA kwa kweli hawakukosea Leo nimechapwa na mvua Moja pande za kisongo airport mpaka nikaficha simu yangu sehemu za siri.
Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji...
Rafiki yangu ana umri 35 ana tatizo la kutokwa na damu puani zaidi ya miaka 10,tatizo lilianza kipindi ameanza kazi ya fundi wa ujenzi!
Tatizo lake ni kwamba Kila aamkapo asubuhi wakati ana anawa uso damu zinatoka puani, wakati mwingine wakati amekaa tu damu zinatiririka!!
Naombeni msaada wenu...
Habari zenu wakuu!!?
Binafsi Mimi kama Mimi hii michezo ya kubahatisha sijawahi jaribu tangu mtoto! Zamani kipindi Niko nyokaa chuga huku nilikuwaga napewa tu shilingi 50 nikachenchi,nikiwaletea makachala chenchi wananipa Lile li shilingi Tano kubwa nanua ngubiti
Wao wanaendelea na kamari...
Mtu niliyemuamini nikampa nafasi kwenye kazi za kitalii ninayofanya tangu akiwa waiiter mpaka Sasa anataka kunipindua kitengo changu cha u-chief guide ikiwezekana hata kunimaliza kabisa!
Kuniharibia kazi, uchonganishi na mabosi isitoshe Mimi nilimkuta kitaa hana ramani anakunywa banana akaomba...
Huu mtandao tangu nimeujua umenisaidia mno kunielimisha,kupata ushauri na kuniburudisha!
Jana nilikua home Sina kazi Kuna nyuzi mbili nilifumua nilipitia post zote kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni Niko online jf!😂
Nilijifunza mengi na kuburudika mno
Habari zenu wakuu?
Mimi ninampenda mno mama yangu sijakataa, ila nikiwa Kama baba inaniuma mno kuona mtoto wangu anampenda mama yao kuliko Mimi.
Na wakati wote nawapenda. Mwanaume nateseka na makodi, kulea familia.
Wanaume hivi tuna thamani gani! Vile tu hatuzai na kupanua miguu ndio tuwe...
Siku moja nimetoka zangu Langai maeneo ya Simanjiro huko kuchukua vinywaji na chakula kwa ajili ya kuhudumia camp.
Niko na pikipiki namaliza Lion's Cave tu pikipiki likazingua alafu ni jioni mida ya saa moja! Sijui hii akili nilipata wapi manake camp nzima walinionaga mi ndio mzembe Tena coward...
Juzi kati nimetulia bar moja kwa Morombo, sasa kuna jomba mmoja alikua anakunywa K-Vant kumbe jamaa kichwa panzi!
Akaanza kumzingua bar maid Mara, arushe matusi. Sasa kuna majomba yalikua yamekaa pale kaunta yametulia tu yanashusha mtungi mdogo mdogo kimya kimya
Yakamuita yule bar maid...
Mwaka huu huwezipitisha siku bila kusikia haya:
Corona, covid 19,barakoa,sanit sanitizer,sabuni,maji tiririka, epidemic, pandemic,lockdown...ongezea na mengine
Nilikuaga nasumbuliwa na kifua nikapiga X-ray wakaniambia nina TB, so wakanianzishia dozi since June mwaka jana tarehe 14.
Nikawa nahudhuria kliniki kila baada ya wiki mbili kuchukua dozi na kila siku nilikuwa nameza vidonge vinne bila kukosa!
Baada ya miezi miwili hivi mwezi wa 8 mwaka jana...
Habari zenu wakuu?
Mimi ni mkazi wa Arusha ila tokea mwisho wa mwaka jana mpaka sasa hivi kumekuwa na wadudu wadogo wadogo wanaotusumbua usiku.
Yaani Giza likiingia ukiwasha taa wanazingua wengi, unaweza ukawameza Kama umeacha mdomo wazi au wakaingia puani au masikioni.
Sijajua maeneo mengine...
Binafsi Mimi ni mwaka Jana krismasi nilipiga tungi nikasahau kunywa maji, boxing day nilitamani ardhi ipasuke au nipelekwe hospital nikatundikiwe maji na glucose.
Nakuja kukaa sawa tarehe 27 mpaka leo nikiona bia nasikia kutapika
Wale wa Machame, Kibosho, Marangu, Rombo, Uru na vijiji vyote tukutane hapa!
Na kama kuna mwenzetu kaishiwa nauli tupange jinsi ya kumchangia sababu lazima wote tuende kule tukapongezwe tupewe mabaraka!
Ili tukirudi mwakani tulipe kodi vizuri
Ekaaa wooose😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.