Habari wanajamvi, ninatafuta mtu wa kushirikiana nae kwenye biashara ya kuuza chakula maarufu kama Mama Lishe. Ninapendelea huyo mtu awe na uzoefu wa biashara hiyo kwani atakuwa mpishi mkuu.Pia awe anaishi Dar es salaam, Tutazungumza makubaliano yatakvyokuwa ila kwa ufupi mimi nitatoa gharama...
Kikubwa unatakiwa ujiamini na uweze kujibu maswali utakayoulizwa kwa ufasaha kwa yale utayokuwa unayafahamu. Kama utakuwa na vigezo wanavyovihitaji utafanikiwa tu kuipata hiyo kazi. All the best.....
Habari wanajukwaa, tunahitaji kijana kwa ajili ya kuhudumu kwenye ofisi yetu. Kazi utakazokua unafanya ni kama ifuatavyo:-
Kupokea simu za wateja na kuwahudumia.
Kutafuta wateja kwa njia ya mitandao ya kijamii na kuwatembelea sehem zao.
Kutuza kumbukumbu za ofisi .
Vigezo
Awe na elimu ya...
Jibu maswali yafuatayo:
1. Unaishi wapi? (Namaanisha Dar es salaam maeneo gani?)
2. Sales na Customer care ushawahi kufanya au unaweza tu kufanya?
3. Kama ukipata kazi tofaut na ya Nurse Assistant upo tayari kufanya kwa muda gani kabla ya kuacha?
Asante.
Je wewe ni muhitimu ambaye unatafuta sehemu ili uweze kufanya majaribio ya ulichosoma kwa lengo la kupata uzoefu? Je unaweza kutengeneza website pamoja na kudesign "grpahics" za aina mbalimbali?
Kama baada ya kusoma aya hiyo ya kwanza na jibu lako ni ndiyo, tunayo nafasi kwa ajili yako ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.