Shida kwenye PBZ wamesema wanataka Watanzania wenye vigezo watume maombi then chini wanakwambia utume maombi kwenye website ya serikali ya zanzibar ambayo wao wanajua kabisa watanganyika hawatoweza kutuma maombi kwa sababu watatakiwa waweke kitambulisho cha mzanzibari.
Ndugu zangu jaribuni watu wanaenda sana huko Uarabuni. Maisha yakikushinda bongo tafuta kwengine. Wenzetu wanaigeria na wakenya wametupiga hatua sana.
Nchi zao zinafaidika sana na vijana wao wanaofanya kazi nje ya nchi.
Kipindi cha nyuma kuna mdau humu alikuwa anataka mawasiliano na agents wa...
Ndugu zangu jaribuni watu wanaenda sana huko Uarabuni. Maisha yakikushinda bongo tafuta kwengine. Wenzetu wanaigeria na wakenya wametupiga hatua sana.
Nchi zao zinafaidika sana na vijana wao wanaofanya kazi nje ya nchi.
Kipindi cha nyuma kuna mdau humu alikuwa anataka mawasiliano na agents wa...
Habari,
Majuzi kulitangazwa nafasi za ajira katika Bank ya PBZ Kupitia mitandao mbalimbali na pia kwenye website ya PBZ Bank. (Tangazo nime ambatanisha hapo chini).
Kwenye tangazo wamesema wanataka wa Tanzania wenye sifa watume maombi ya kazi kujazia nafasi zilizoachwa wazi.
Changamoto...
Kuna Bravo Recruitment Agency
Kuna Competitive Manpower International Ltd wapo Magomeni pale.
Kuna Sasy Recruitment Agency pia wapo Magomeni.
Jaribuni Hao.
Kuna kampuni kule Saudi Arabia inaitwa Almarai naona wanachukua sana waTanzania kupitia hao agency. Jaribuni bahati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.