Wakuu
Naomba Msaada Na Maelezo Yatakayonisaidia Katika Tatizo Nililonalo
Ni Hivi,Siku Ya Jumatano Nilipata Ajali(Niligongwa Na Pikipiki(Mimi nilikuwa na Gari) Pikipiki Ile Ilikuwa Site Yangu Na Ni Kwenye Kona)Kwa Bahat Nzuri Hakukuwa Na Kifo Ila Jamaa Aliumia Kidogo Na Traffic wakaja Kupima Na...
Wakuu Amani Iwe Kwenu
Naomba mwenye Mawasiliano na Afsa Elimu -Msingi -Ilala Anisaidie Nina Shida Nae Muhimu
Nafahamu Kuweka Mawasiliano Binafsi Hapa Sio Vizuri Lakini Waweza Ni pm au Ukaweka Ya Ofisi yake Sio Mbaya Kwa Kuwa Ni Mambo Ya Kiofisi
Ni Muhimu Sana Msaada tafadhali
Wakuu heri ya mwaka mpya,
Nimeshiba pilau la mama Mwajuma binti Said lakini kuna kitu kinagonga kwenye kichwa changu;
Ni hivi, kwa watumishi wa umma tulikaguliwa vyeti original na baada ya hapo kuna baadhi ya watumishi wakaambiwa tena wasubmit vyeti vyao tena original na hadi leo nadhani...
Habari za jioni wakuu,
Poleni na shughuli za kutwa nzima,.kama kichwa cha habari kinavyojieleza , naomba kujua viongozi hasa wa kisiasa wanaishije kule mahabusu?mfano malazi,chakula,n.k
Mantiki yangu ni kuwa kwa mfano Lema anapelekwa mpera mpera kama wengine au yeye anaishi as if ni celebrity...
Habari wanajf,
Mimi ni kijana Wa kiume 26 aged,issue ni kwamba Nina viuvimbe vidogo kwenye maziwa yangu(vile vya balehe)so tangu kubalehe kwangu havijaondoka
Kipindi nipo o level nilijishughulisha sana na punyeto(nikiwa kwenye balehe stege)sasa hadi Leo havijaondoka na kuna wakati nikiviminya...
Goodmorning wanaJF,
I have a serious problem.Mimi ni kijana wa jinsia ya kiume. Nina viuvimbe katika chuchu zangu since nimebalehe hadi sasa nina umri miaka 26 lakini havijatoka kama wengine. Nikiviminya viuvimbe hivi vinasinyaa.
Wakati ninasoma form 3 nilijihusisha sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.