Search results

  1. Shine

    Uchaguzi 2020 Lissu aungwe mkono kwa vitendo si maneno tu

    Apo umesahau kura muhimu karibia kuliko zote ambao ni wafanya biashara wa nchi hii wamenyanyasika sana miaka hii mi5
  2. Shine

    Mashine zinauzwa

    Mkuu unaweza kutuwekea picha ya hizo mashine za misumari tuzione?
  3. Shine

    Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

    Bashite anawaita wa upinzani mzigo hawana wanachokifanya hivi kweli?
  4. Shine

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    ijoz, Hii kitu nakubaliana nayo by all % sema upungufu wa hawa watu huwa kumage hela na kuikuza biashara waliowengi hawawezi yaani kwa kifupi fikra zao zinaishia apo apo japo wachache wao wanaweza kukuza biashara. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Shine

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    CHASHA FARMING, Kweli mkuu umenena huwezi pewa mtaji na taasisi yeyote kama haujaianza biashara teyari tena wanaenda mbali zaidi wakitaka kujua umekwishaifanya kwa muda gani Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Shine

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Hii ni wengi hatuifuatilii japo baadhi ya ving'amuzi wamejitahidi kuondo local channel ili tuitizame ila bado Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Shine

    Hivi ni kweli hii sababu inatosha kuvunja uchumba ama nimeingizwa cha kike?

    Mshukuru Mungu kwa kila jambo maana hujui kakuepushia nn. Ila issue ni kwa mtoto jinsi ya kumweka upande wako hasa ktk imani
  8. Shine

    Kumekucha UKAWA: Lipumba kutoa msimamo wa CUF leo saa tano Asubuhi

    Hivi lipumba kwa akili yake anaeza akajakuwa raisi wa tz hata kwa sekunde? ni bora akubali ili apewe angalao umakamu
  9. Shine

    Kumekucha UKAWA: Lipumba kutoa msimamo wa CUF leo saa tano Asubuhi

    Sasa msimamo wa kivipi tena wakati lipumba alisema mambo machache yaliyobaki ya kujadili na hayatashindikana kuafikiana
  10. Shine

    Edward Lowassa special thread

    Hahaaaa makanisa na misikiti waendelee kumwalika ktk harambeee tuone atakavochangia
  11. Shine

    Mmiliki wa mabasi ya J4 apiga wawili kwa risasi

    Tatizo ni serekali kuwa mikononi mwa watu ndo maana wanakua hawaogopi wala kutetereka ktk kufanya maovu
  12. Shine

    Madudu Yanayoendelea Njombe Kuhusu BVR Wakati uandikishaji Ni kesho

    Wala siyo ukata ni plan B ya ccm kujipanga ili kutengeneza mianya ya wizi
  13. Shine

    Sivielewi vipindi hivi vya EATV

    Wanataka kutuonyesha wanavoishi maisha yao ya hali ya juu
  14. Shine

    Gari hii nauza

    Gari ikinifikia mkononi ndo utachukua hela siyo? yaani yako na ya kununua gari
  15. Shine

    Kifo cha CCM kimetimia

    Mh! hoja imekaa kishabiki vile
  16. Shine

    Una mechi kesho usiku?

    acha weee
  17. Shine

    Mayai yamefurika Dar es salaam, Soko hakuna wafugaji ni Msiba

    unashangaa hilo mbona vitunguu swaumu na samaki wanaimport angali uwezo wa kuzalisha upo na vilivyozalishwa vimo ila tu kwa maslahi ya ccm na viongozi wake
  18. Shine

    Hili tunda linaitwaje vile? Long time sijala

    Kweli mkuu analake jambo
Back
Top Bottom