Ukikutana na Rijali anayefuata PROTOCOL bahati yako
Ila sasa ukikutana na wale mafundi wakufumua MARINDA na Wale wabandua MAGOGO lazima best uchenji MOTION.
Kushoto -kulia MBELEE tembeaa.
Haya Wale wa swalaa swalaa
hamkeni mida imekaribia.
Wale wa matendo daima
tukamkemee shetani.
Na Wale wa team popoo wakiongozwa
Na
No Escape
twendeni tukanywe MAJI
TUKAKOJOE , turudi kupiga KAZI
Sema baba Sema,
Toa dukuduku baba
Hii inasaidia kupunguza stress
Ukweli humuweka mtu huru
naona unamwaga mchele kwenye kuku wengi.
Dah! Umeamua kumwaga Ugali kabisaa
KWELI maishapopote (haya ogopi mtu).
Mimi nipo hapa nyuma yako nakuona tu unavyo kikojolesha kwenye tubelight.
Kumbe ndo ulivyoo. Jamani ID hizi za JF zinaficha mengi.
Samahani mkuu macho hayana panzia.
Wale Team popoo
Tukutane samaki samaki natoa ofa za vinywaji na chakula
Idadi: Team popoo wa 5.
Kama upo tayari pliz nijulishe .
Ujumbe: kutoa ni moyo sio utajiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.