Habari gani wakuu......
Kwanza poleni kwa majukumu...Mimi ni mwanachuo Dodoma lakini nina wazo la kilimo pia..
Ninawazo la kukodi shamba mpanda kwa ajili ya kilimo cha Mpunga.
Naomba ushauli wenu wa aina yeyote unao usu Hichi..
Natanguliza shukrani.......
Nawasilisha
habari za majukumu wana JF
Nimesom certificate ya ualim wa shule ya msingi lakini kwenye upande wa shule za kiingereza,lakini nina wazo la kubadili kozi kati ya
-banking and finance
-accountant and sales
-Bussiness administration
kati ya hz tatu yepi ipo vizuri na pia kwenye upande wa soko...
Kuna mdogo wangu anataka kwenda kusoma Chuo cha CBE.
Matokeo yake ni
Civics D
Hist. D
Geog. D
Kiswahili C
E.Language D
Literature. E
Chemistry E
Biology D
Math E
Kwahiyo kwa chuo cha CBE anaweza kusoma course gani?
Tafadhali naomba msaada wenu
Nimesoma certificate of computer application,kwahy natak kuendelea kusoma computer so naweza soma facult gan kat ya hz chini...
Ordinary Diploma in Electrical and Electronic Engineering
Ordinary Diploma in Electronics and Telecommunication Engineering
Ordinary Diploma in Mechanical Engineering...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.