Tumia kiswahili ili kuwapa nafasi ealuo wengi kukuelewa na kuwezq kukushauri,apa ume limit watu wa aina flani pengine wapo wenye mawazo mapana wangeweza kukusaidi sema ume kuwa bias kidogo ushauri tuu kijana.
Nenda sua ndugu,ni kozi nzur sana na utajifunza vitu vingi sana ambavyo vitakufanya uweze kujiajiri hata kama ukikosa ajira. Kila la kheri kwenye uchaguzi wako.
Uyo wa A hatojutia uamuzi wake kamwe,natamani ningekua namjua nimepe big yes,coz atajiunga na chuo akimaliza diploma yake na pia atapata mkopo ikiwa amefaulu vizur na atajivunia kuwa na professional huku akiwa asoma bachelor yaani atakua anasoma huku hana pressure kabisa coz atakua na uelewa...
Usikate tamaa kikubwa nikuomba MUNGU nakama upo DAR watimbie ofisini kwao kuwasumbua kwa kuwaeleza uwezi jisomesha na ipi sababu ya wewe kukosa mkopo?pia ulisoma course gani DIPLOMA na chuo uechaguliwa course ipi ivyo pia vinaweza vikakusaidia kupata.
Ipo ivi chuo huwezi pata,mana tcu wameelekeza wanafunzi wanaotokea DIPLOMA wawe na GPA ya 3.0 na kuendelea ivyo chini ya hapo no chuo.and asije akakushauri mtu kwenda nje pia utapoteza muda mana ili iyo degree yako itambulike itakupasa kwenda tcu na wakikuta ukisoma kinyume na muongozo wao...
Wahi mapema chuo huwa wana bandika nafasi zilizopo kila course,then kuna utaratibu wanatoaga wa jinsi gani waweza hama.lakini kikubwa ni kuwahi chuo ili uwahi izo nafasi mana huwa zinakua chache sana.
Hazitumwi online admission letter kwa udsm,kwa walio dar zimeanza kutolewa leo,unaenda chuo unachukua tuu.kwa wamikoani chuo kikifunguliwa tu unachukua admission letter yako.
Ndio inawezekana,kikubwa iyo course iwe na na nafasi yakuchukua watu wapya kwa maana ya wanaotaka kuhamia,pia unatakiwa uwahi mapema chuo ili kufanya maombi ya uhmisho,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.