TANESCO na Leo nako asubuhi tu mshakata umeme Dumila yote haina umeme
Hivi mna shida gani na nimatengenezo gani hayo Toka mwezi wa 11 yasiyoisha?
TANESCO rudisheni umeme Dumila
Pamoja na maelezo yote hayo yaliyojitosheleza Bado unacopy na kupest Hilo jarida lako
Hivi nyie ni maroboti au
TANESCO rudisheni umeme Dumila mgao gani huu wa Kila siku Toka mwezi wa 11
Kuanzia Dar Hadi Mwanza au tusema Dar Hadi Kigoma
Hakuna sehemu kwenye parking ndefu ambako Ni tegemeo la malori kama Dumila. Na ndio sababu hapo nyuma kukaa Giza hili Eneo ilikuwa Ni mwiko Ila chini ya Awamu ya Makamba imeonekana Ni Jambo la Kawaida labda siku muanze kusikia milipuko ya...
Huenda hilo nalo linachangia sababu baishara ya solar Na majenereta imepamba Moto saana
Mfano Hapa Dumila ukiingia kule ndani ndani Kidogo Pande Za bwawani unakuta umeme haujafika yaani watu wanasubiria nguzo Ila haziji Na maeneo hayo ndio kampuni ya Solar King inafanya biashara kama haina...
Na kama kila wakikata tungekuwa tunalalamika ingekuwa Ni kila dk tunaandika Ila wanakata Na tunasema tusubiri labda watarejesha Ila unaona Muda unaenda Tu hvyo Kwa kuwa tunayoyasema hawayatendei Kazi Ila tunawapa Taarifa kama update Tu
Kwamba alipoingia alikuta umeme upo wa uhakika hata kama unakatika Ila Ni Kawaida Tu. Na Dumila ameikuta hata itokee nini Ila Ni ngumu kulala Giza yaani Ni suala lisilowezekana kutokana Na usalama wa Eneo husika
Halafu kuingia yeye Tu Mwanzoni Hali ilikuwa vizur Sana Ila baada ya Muda mchache...
Toka Muda nishatoa Taarifa Ila Utekelezaji Hakuna
Hivi si mumfukuze Meneja wenu Kanda ya Mvomero maana Hakuna akifanyacho zaidi ya Kula mshahara wa bure tu
UMEONA HIYO PICHA NI JANUARY 23 NALALAMIKAGA TU HADI LEO NA KAZI YENU NI KUSEMA MNAFANYIA KAZI
Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa
Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira .
Ila toka amepewa wizara ya Nishati madudu yamekuwa makubwa...
Eneo ni kata ya Dumila ipo wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro
Tatizo ni kukosekana kwa umeme na tatizo hili limeanza toka mwezi wa 11 mwaka jana yaani umeme umekuwa unarudi kwa bahati sana na hata ukirudi unakatika katika
Mfano toka majuzi juzi jana umeme umezid spid ya kukatika yaani tunalala...
Hakuna mbunge kuna mpokeaji mshahara tu Maana toka apitishwe tumemuona mara moja tu kipindi cha ziara ya Samia Dumila toka hapo tunamuonea kwenye luninga
Dumila ipo Mkoani Morogoro kiukweli hali ya upatikanaji wa umeme ni mbayaa kupitiliza.
Sio kwamba ulikuwa haukatiki kipindi cha mwendazake la hasha ulikuwa unakatika sana tu ila awamu hii imepitiliza
Alipoingia January Makamba hali ndio imezid kubadilika yaani umeme unaweza katika siku 5...
Dar mbona mnalalamika sana?
Huku mikoani mgao wa maji ni toka nchi ipate uhuru hadi leo mgao
Nyie umeanza juzi tu mnalalama
Endeleeni kutengeneza memes Instagram mkifikiri ndio njia sahihi ya kusikika
FISIEM NI TAKATAKA KABISA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.