Na hicho ndicho ninachouliza!! Je, kuna mwanamke mwenye uwezo wa kuiingiza nchi yetu kufikia mafanikio tunayoyataka? Hao wenzetu uliowataja walipata elimu mapema wakati sisi tupo busy kuzuia watoto wa kike kusoma na kuwaozesha wenzetu walisomesha wa kwao kwa bidii! Sisi tumechelewa mno!
Nawasilimu kwa jina la Jamhuri!
Kwa mara ya kwanza toka nchi yetu ipate Uhuru, tulipata Rais mwanamke kwa njia isiyo rasmi sana baada ya kumpoteza Rais, Mh hayati John Pombe Magufuli.
Mh Samia Suluhu amekuwa madarakani kwa muda mrefu sasa. Amefanya mambo mengi kama rais wa nchi, amepongezwa na...
Nashukuru sana kwa mchango wako wa mawazo!
Kuna jambo moja natamani ujue, majukumu yote ya hao wateule wa rais uliowataja ni ya mh. Rais!!!!! Ni vile tu kwamba majukumu ni mengi na kwamba hawezi kuyatimiza peke yake ndiyo maana anachagua watu wa kumsaidia majukumu hayo!
Kama utendaji wao...
🤣🤣🤣🤣 Unadhani wangewauwa hawana kosa lolote mkuu? Yaani sijakukosea lolote unaniua kweli? Sina madhara yoyote kwa usalama wa taifa unaloliongoza uniue? Maadui wa taifa siku zote huwa wanapotezwa kwa style hizi! Tembelea popote duniani! Marais karibu wote hufanya hayo kupitia usalama wa taifa...
Mahali nchi ilipofikia tulihitaji uongozi wa aina ile! Siyo kuchekeanachekeana! Mataifa yote yaliyoendelea yameendelea kihivyo! Li China lile limefika hapo lilipofika kwa mkono wa damu! Watu walinyimwa Uhuru kila kona! Sisi Uhuru ulipitiliza! Watu wanakula mishahara saba pasipokufanya kazi...
Kuna mauaji ya muhimu na mauaji yasiyomuhimu! Yaani kama waliuwawa kwa manufaa ya umma naomba usilalamike! Hata Yesu aliuwawa kwa manufaa ya wengi!
Kuna majambazi wanakamatwa wakipelekwa kunakohusika wanaachiwa! Tuwafanyaje? Maana mtaani wanasumbua wanyonge!! Ni bora tuwapoteze!! Kuna watu...
Iwe wameua au hawajaua ni wahalifu!!! Awamu ya Magufuli uhalifu ulipungua kwa kiwango kikubwa sana! Sasa hivi umerudi kwa kasi kubwa! Kuanzia matapeli kwenye simu mpaka majambazi!
We siyo great thinker bana tusidanganyane🤣! Kama hata kujibu maswali uliyoulizwa hujui unaropoka mambo usiyoulizwa unawezaje kujiita great thinker? Swali langu lilikuwa dogo sana lakini maelezo rundo unayotoa wala hayajibu swali hata kidogo!
Mimi nimeuliza, haya yalikuwepo wakati wa awamu...
Nahisi kicheko nilichowekewa nicheke hakitoshi naomba nicheke vizuri hapa! Hahahahahahahahahahahaahaahahahaha....! Nacheka utafikiri ni mazuri! Wabongo hatufai! Lakini nadhani wenye dhambi ni hao mabosi waliowapa tenda waandishi wa hayo mabango! Kwa kupenda cheap labour ili wapige hela kumewaponza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.