Kwanini mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi ma-RPC nk., nk...
Pamoja na mishahara yao minono bado wanapewa nyumba, magari, walinzi, wanalipiwa umeme, maji, matumizi ya simu nk ili hali watu wengine wafanyakazi wengine wa serikali na taasisi zake wanabeba misalaba yao wenyewe?
Why...
KWA KIFUPI:
Jana nimelazimika kuchanga maabara Tshs. 60,000/- kwa wanangu wawili wanaosoma shule ya sekondari Mnarani (Mwanza).
Hela hiyo nilikopa kwani kadi yangu ya benki ilikuwa imefungwa tena bila taarifa na kwa ubabe kutoka kwa benki ya NBC
Nilipoenda kwa mtendaji wa kata, kata ya...
Jana usiku Mhe. Lembeli akiwa katika Klabu ya Villa Park - Mwanza ambapo alishirikiana na Bendi ya Super Kamanyola katika nyimbo za Marehemu Marijan Rajabu (Jojina na Mzee Said) pamoja na Rangi ya Chungwa (Tabora Jazz?). Lembeli aliuambia umati wa watu katika maneno yake ya utangulizi kuwa '...
Mimi ni graduate Bsc. Education nafanya kazi part-time katika shule moja hapa Mwanza.
Natafuta vijana wa O'Level na A'level wanaotaka tuition.
Wahi nafasi ni chache.
Nitafute: 0755 42 88 33
1. Kwa miezi minane sasa CKHT hakijapewa fungu lake la OC kutoka serikalini (HATA SENTI TANO!)
Hali hii imesababisha shughuli za kawaida za chuo kukwama.
(Makamu Mkuu wa Chuo akiongea na wanachuo - Dar)
2. Teaching Practice ambayo ilikuwa ianze sasa imeahirishwa hadi hapo itakapotangazwa -...
Nimetenmbelea Soko Kuu la jiji la Mwanza leo.
Nimeshuhudia ukatili mkubwa sana dhidi ya kuku wanaochinjwa kwa ajili ya nyama:
1. Wapo waliokatwa vichwa na bado hawajafa- wanaendelea kuteseka
2. Kuna wanao chemshwa ili kutoa manyoya
3. Kuna wanao katwa katwavipande baada ya kuchunwa manyoya kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.