some big DUDES in wallstreet wanajaribu kumtengeneza jamaa huyu kuwa Rais wa Tanzania kwa manufaa yao..hajafanya jambo lolote la maana kustahili sifa anazopewa na watu wa nangharibi...kuna kipindi aliwahi kupata sijui award gani huko USA , later on nikasikia forbes wanamtangaza kuwa he is among...
NDOCHO NILIKISEMA JUZI LAKINI
Let us think inside the box, outside the box and trash the box and think without a box as well.
Inside the box
CCM wamepanga njama ya kulipua bomu kwenye mkutano wa CHADEMA ili wananchi waogope kuhudhulia mikutano ya chadema. Tuhuma hizi zinakuzwa na maneno ya...
we mtoto mpuuzi kweli, kwani hujui asilimia kubwa ya wapiga kura hawana vyama? kuto kuwa na kadi ya uanachama wa chama chochote inatosha kudhihirisha sina chama
kwenye post ya trh 19/6 nilikuwa najaribu ku exhaust all possible culprit wa ulipuaji....na ndivyo watu makini hufanya na si kung`ang`ania posibility moja ama mbili
Zamani jamii forum ilikuwa kweli na great thinkers, sasa wamejaa watoto badala ya kujadili issues wanajadili vitu na watu
kinachosikitisha hamna hata mmoja anayepiga kura tarehe 30/6/2013. Ninayezungumza nipo arusha na ni mpiga kura. Moderator unatakiwa ufanye screening upunguze watoto
Tatizo la wachangiaji hapa ni ushabiki bila kuelewa mantiki ya hoja iliyo tolewa..hapa kinachotakiwa ni kwa chadema ku prove ubaya wa ccm kwa wapiga kura kwanza na baadae kwa tume huru na mahakama...in politics its not doing the right thing , its rather doing the right thing at the right time...
Naomba ku declare interest kwamba mimi ni mmoja wapenda mabadiliko Tanzania wasiopenda CCM iendelee kushika dola kutokana na udhaidu mkubwa wanaoonyesha katika uongozi wa nchi, utofauti wangu na wengine ni kwamba sina chama ila sijawahi kukosa kupiga kura toka nimetimiza miaka ya kupiga kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.