viwanja vya makazi vinauzwa.. vimeshapimwa utapatiwa na hati miliki...
ukubwa.. sqm 450
bei..milioni 4,kwa walimu unaweza pata kwa mkopo
mahali....karibu na bagamoyo..
kwa maelezo zaidi..
Warembo wa humu ndani...especially wale wenye seasonal chunusi+lashes..+ wale wanaotaka kumaintain their skin colour kuna this lotion hapa....
1.inatibu vipele na zile chunusi ambazo sio sugu. ...I.e zile mtu akikaribia p anapata...
2.inatibu kuwasha kwa ngozi
3. (100% proven)...inakusaidia...
Habari wana jf
Natarajia kuvuna matikiti weekend hii.. Shamba lipo mlandizi-kitomondo.. Anaefaham wapi naweza pata wanunuz wa jumla wa matikiti naomba anijuze hapa
Habari,
Mimi ni mjasiriamali mdogo ambae nafanya biashara ya kuuza seti za perfume...
Natafta vijana wa mikoa tofaut na dar ambao wpo tayar kujiajir kwa kufanya biashara hii...
Anaweza kua mzu mmoja au vikundi vya watu ambao nitawauzia perfume hizi kwa bei ya jumla na wao watauza kwa...
Habari wana jf,
Nauza seti za perfume za kike na kiume.. Seti moja kubwa inakua na vitu vitano...
Kwa seti za kike, inakua na perfume, spray, sabuni, poda na lotion..
Kwa seti za kiume, kunakua na sabuni ya maji na ya kipande, spray, perfume na aftershave balm..
Zipo seti ndogo pia zenye...
Perfumes nzuri za kike na kiume ambazo zimewekwa kwenye seti maalum yenye kila kitu yaani sabuni, lotion, poda, aftershave balm kwa wanaume, perfume na spray. Ni nzuri kwani zinakupa harufu moja mwili mzima, sabuni yenye harufu sawa na lotion sawa na perfume yake. Ni nzuri kwa matumizi binafsi...
Hellows wana jf
Ninauza seti za perfume kwa bei ya jumla na rejareja....
Seti moja ya kike inakua na perfume, spray, lotion na poda.. Seti moja ya kiume inakua na perfume, spray, sabuni na aftershave balm...
Bei ya jumla ni 25000 kuanzia piece 10, rejareja ni 28000 kwa piece moja.
Delivery...
Tecno h6 mbili znauzwa.. Moja nzima moja inauzwa kama spare, imekufa display na volume button imetoka... Muuzaj yupo dodoma.. Bei ya zote ni 185000....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.