HeavenSent na Kaboom asanteni na naheshimu maoni na ushauri wenu.
Mada ya madhehebu ijulikane tu kuwa mimi ni Protestant and the girl was Catholic.
However, the fact remains, kuna mtu amelazimishwa kuwa parent although the question of how it happened remains to be the most important factor in...
Habari za hapa Jamvini wadau.
Kifupi niliwahi kuwa na uhusiano na mrembo mmoja kwa takribani miaka mitano (5) tangu mwaka 2007, naamini tulipendana sana. Kwa sababu nyingi zikiwepo ya tofauti ya madhehebu ya dini, tulitengana mwana Feb 2012 baada ya kutaka tufunge ndoa August 2012. Sio siri...
Wakuu kuna tetesi (hazijawa confirmed) that Fabinyo amejitoa uhai. Kwenye kinoti alichokutwa nacho anawalaumu wana JF kwa kumchachafya hadi kufikia Maamuzi hayo Magumu. Tujipongeze tafadhali.
Chief umechemka. Yote yamesemwa lakini tukizungumzia majukumu ya kazi katika nyumba hukutakiwa hata kuongea na huyo housegirl. Maswali yote yalitaliwa yajibiwe na Mkeo mpenda miteremko. Si ajabu hata mboga unayokula kuna kidingi kimehonga mkeo maana anapenda sana kislope. Kazi zake amsogezee...
Mi nafikiri DASA kama ilivyo avatar yako, u are really HIGH right now. Unachanganya mambo mawili kwa wakati mmoja. Ishu kama ni ushamba, basi u need to argue in favour of ushamba, lkn kama nimekuelewa vizuri, huoni haja ya mtu kuwa na simu ya milioni if simu ya laki or 50K can do the same. Where...
My fellow artists, am looking for shops where they sell painting stuffs like brushes, boards, oil paints and so forth here in DSM. If anyone knows, pls PM me.
Kuna dawa inaitwa either Zinc Pensil or Sulfur Pensil, samahani ckumbuki vizuri. Ila nilishawahi kuitunia binafsi. Unaichovya kwenye maji then unapaka sehemu yenye kisunzua, utahisi kama unaungua and after that unapata kama doa jeusi. Baada ya masaa kadhaaa au suku, inabanduka na hapo inakuwa...
Nduka nikisema una hormones za kike ntakuwa nimewakosea heshima wadada zetu. Vitu hivi ni uhakike;
a) huna sifa ya uanamume, na huyo mtoto wako sidhani, most likely umesaidiwa..go for DNA
b) unahormones za sokwe
c) ubongo wako una evolve kuwa wa panya buku.
SHAME ON YOU
Wana JF, leo nimeenda kanisani na nimemsikia mchungaji anahubiri eti hata ukimkuta mke wako au mmeo anazini inabidi umsamehe.. Jamani hili linawezekana au ni hadithi za abunuwasi? MSAADA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.