Habari zenu wana JF mimi nina mpango wa kutoa huduma za
M-pesa
Tigo pesa
Airtel money
Maxmalipo
je ni shiling ngapi inahitajika kupata uwakala wa M-pesa,Tigo pesa,Airtel money na Maxmalipo. pia ningependa kujua gharama za kupata leseni ya biashara
Mwenye matokeo haya physics S, Math D, Technical drawing C, anaweza pata course ya Computer Engineering DIT au chuo kingine naomba ushauri hata wa course nyingine TD ni Technical Drawing huyu mtu hajasomea tz
Nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa mayai. Na mipango yangu ni kuanza na vifaranga 250.. kwa ambao tayari wana mradi kama huu naomba kujua maelezo zaidi hasa kwenye
1) Bei ya hawa vifaranga 250
2) Bei na kiasi cha chakula kwa mwezi,wiki.
3) Ukubwa wa Banda na jinsi linavyotakiwa kujwengwa
4)...
Je wakati wa kulipa bodi ya mikopo Kupitia M-pesa unajaza index namba ile uliyo tumia nje ya nchi kwenye sehemu ya account namba au kuna manna nyingine... Kama kuna amesomea Uganda na amefanikiwa kujaza naomba msaada hasa hasa sehemu ya kulipia
Nimejaribu kulipia kwa njia ya M-pesa lakini kuna sehemu nafika nakwama wanasema niweke namba ya akauti noamba msaada. nifanyaje?
au kama njia ninayo tumia sio sahihi ningependa kujua njia sahihi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.