Serikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .
Nichukue muda huu kumuomba Waziri wa sheria na katiba Prof. Kabudi aache siasa kwenye idara nyeti kama Mahakama watumishi wa Mahakama wana mishahara ya hovyo kuzidi kiasi haijawahi tokea vifatavyo ni viwango vya mishahara kwa watumishi wa Mahakama.
Mahakimu wanalipwa laki tano kwa mwezi hiyo ni...
Mimi nilifanya mtihani wa form six kwa combination ya HKL nilipata division three but o level Nina c ya physics ,C, chemistry ,D ,ya biology ,civics ,B, English ,C, na mengine D , math ,F , ninataka nifanye mtihani wa form six kwa PCB , nifanye kama private candidate je ? Naruhusiwa ?? Na necta ??
Rungwe amesema hayo na waandishi wa habari kuwa mahakama ya mafisaidi ni kiini macho tu haina kesi yeyote ile ipo nyeupe.
======
Tangu mfumo wa vyama vingi uliporejeshwa mwaka 1992, kumekuwa na maoni tofauti kuhusu utekelezaji wa sheria iliyovianzisha hasa katika awamu ya tano ambapo...
Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Respicious Mwijage ameuambia upande wa mashtaka kuwa siku akipandwa na mashetani ataifuta kesi ya vigogo wa Mamlaka ya Vitambulisho vyaTaifa (NIDA) endapo kama upelelezi hautakamilika.
Hakimu Mwijage alitoa angalizo hilo baada ya Wakili wa Serikali...
Naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa sana kuwa juzi waziri wa fedha na mipango alitoa tangazo watumishi wa umma kuwa wanahangaika sana kupata salary scale hivyo alijidai kuwa yeye anabana matumizi hivyo wizara yake imetengeneza njia ya kielektroniki kupatikana kwa salary slip hizo na link...
Ili kupunguza gharama za uendeshaji, Serikali imetangaza kuachana na matumizi ya karatasi kutoa nakala za malipo ya mshahara (salary slip) kwa watumishi wa umma.
Badala yake, Serikali sasa itaanza kutumia mfumo wa kielektroniki.
Taarifa iliyotolewa leo Jumapili na Wizara ya Fedha na Mipango...
Katibu Mwenezi wilaya ya Nyasa ahamia chadema amesema CCM ni chama cha wezi na wala rushwa achukizwa na kitendo cha viongozi wa Serikali kununua madiwani. Adai pesa wanazonunua madiwani wangenunua madawa hospitali yakasaidia wananchi.
Pia amesema pesa hizo zingesaidia wanafunzi elimu ya juu...
Nimekuwa nikifuatilia mgogoro wa RPC Mponjoli na ndugu Msukuma nikakumbuka Miaka Miwili iliyopita nliishi Jijini Mbeya na nikafanikiwa kukaa mpaka Tukuyu kikazi kwa Mwaka Mzima.
Mponjoli ni kielelezo cha wanyakyusa. Ni watu wanaosimamia wanachoamini, hawajui kubembeleza. Jambo hili lilinifanya...
Nimeamua kuacha kazi kwa sababu ya manyanyaso haya .
01 : Serikali ina mda mrefu sana inatuibia mishahara yetu kwa sababu haitaki kutoa salary slip kwa mda imetengeza watumishi portal nayo haifanyi kazi naibiwa mshahara wangu kwa kutoa ninachopokea.
Naacha kazi kwa sababu serikali...
Naipongeza sana Serikali kutoa mishahara kwa wakati lakini pia nasikitika sana kuona Serikali inashindwa kutoa salary slip za watumishi wa umma kwa wakati husika watumishi wa umma wanashindwa kujua kila mwezi wanakatwa nini badala yake wanabuni tu hii hali ni mbovu sana.
Jana mlisema mmefungua dirisha la wanafunzi waliokosa chuo waombe cha kushangaza mpaka leo wakiingia kwenye profile zao hakuna sehemu za kuedit ili waapply upya kozi zenye nafasi na muda unaenda huu ni wizi.
Pili, watu nakuta hali hii wanaamua kulipia upya wanakutana na kikwazo cha kuambia...
Kwenye profile yake kozi moja wamemwandikia eligible, wait for next selection maana yake nini? Asubiri uhakika upo wa kuchaguliwa au wakitoa second round aaply tena?
Naomba kufahamishwa
01: Bachelor of art in mass communication
02: Bachelor of art in public administration
03: bachelor of library and information management
04: bachelor of art in sociology.
05: bachelor of art in natural resources management
06: bachelor of community economic development
Je? Nisome kozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.