Mo na kampuni zake sio wabaya, ila wale wanaotunga sheria zinazomlinda yeye na kufanya maisha ya wananchi kuwa magumu
kama uwepo wako kwenye moja ya kampuni zake unakusababishia athari sidhani kama kwenye hiyo mikataba hakuna kipengele cha kujiondoa na hiyo ajira.!
Vile vile kama kiasi cha...
Huyu sheikh anahitaji maombi kwa kweli.!
Badala ya kumuombea adui yako adumu ili aone mafanikio yako apate kumtukuza Mungu wako we ynamuombea kifo?
Hopeless kabisa.!!
hamchelewi kusema takwimu za kiserikali hazijaonesha kama mkuu wetu yupo na dhambi .Anaefaa kusemea mkuu wetu kakengeuka ni ile taasis ilopewa mamuraka kutoa taarifa izo
kwanini wasijenge kaghorofa kamoja tu kama UDSM ili tuweze kuokoa gharama kuliko kufanya yote hayo.? Naamini serikali yangu sikivu itachukua mawazo yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.