Kuwa muelewa basi wapi nimetaja STI?? sasa ntakupaje hizo sifa wakati hujui tunazungumzia nini.. Wewe umesema brevis ina mwendo zaidi ya subaru wrx (sijataja neno STI) acha kujichanganya, wewe mwenyewe umesema tulete sifa ya hizo gari ktk performance mimi nimekwambia tuanze na Horse power kama...
Twende taratibu bwa mdogo hapa tunazungumzia brevis pamoja na wrx wala hatujazungumzia habari za Aristo usitake kubadilisha mada..Umetaja mavitu mengi ambayo hayana maana kabisa ktk perfomance ya gari, Ebu niambie hiyo brevis unayosema wewe ina horse power ngapi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.