Matendo ya ndani ya ndoa ndio yanafanya roho ya upendo ipotee. Mwanzoni wanawapenda waume zao ndio maana waliolewa na kuzaa nao.
Asilimia 80 ya ndoa na mahusiano ni tia maji tia maji na tunaishi humo.
UKipenda kwa hisia utateseka sana siku hizi.
Mapenzi ya siku hizi ni ya kutumia akili tu na pia usipoteze muda kwa mpenzi mmoja .
Kuwa nao wapenzi kuanzia watatu ( hakikisha unawapima afya).
Hutojisumbua na kuwaza sijui hajibu sms wala nini.
HApo wanateseka kweli kukosa viti vya ubunge,ndio maana wanamchukia mwendazake kwa alichowafanyia kwenye uchaguzi, wanamisi kula bata Dodoma na kuto....ba ma...laya .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.